Nantahulila
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 2,163
- 1,806
Punguza kula kahawa na tende mkuu.umekuwa brainwashed vibaya sana.Unataka kutuaminisha kuwa Iran ni super power kiasi hicho?Mkuu
Kama tunazungumzia NWO mkuu basi ni wazi hatuwezi kuingiza habari za Rothschild family. NWO tunaweza kuhusisha mataifa kama urusi, uchina, Marekani na washirika wake wa NATO na Iran. Mfano rahisi tunaweza kuangalia mgogoro wa Syria hivi sasa ambao ni tunaweza kusema ni vita kati ya Marekani na urusi.