Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Mkuu nimejiandaa usinione kimya. Ha ha ha asante kwa ushauri kiongozi. Tatizo kuna baadhi ya wachangiaji hapa wana majibu ya kashfa na dharau hawa vijana kuendesha nao mijadala inahitaji Hekma kidogo na busara lasivyo unaweza kupigwa Ban.Mkuu nondo zako umefata ughaibuni? Ulihaidi utakuja nazo na mikwara mingi lakini bado kimya. Mimi binafsi nahitaji nondo zako zinaweza kuniongezea nisichokijua ila nashauri kama kuna kitu kipya
Mkuu nondo zako umefata ughaibuni? Ulihaidi utakuja nazo na mikwara mingi lakini bado kimya. Mimi binafsi nahitaji nondo zako zinaweza kuniongezea nisichokijua ila nashauri kama kuna kitu kipya kwako na wewe soma upate kuongeza kitu kwa kile ulicho nacho.