Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,757
- 2,353
Hapo ni dunia mkuu..Sijasema bill gates anamiliki bank. Halafu tambuwa kumiliki bank si kuwa na hela.Benki zinatoa service kwa kuweka fedha za watu , makampuni,serikali n.k. halafu huwezi kusema ana struggle kuwa moja wa matajiri wakuu duniyani. Bill gates kama ulikuwa hujuwi ndio mtu binafsi mwenye utajiri kupita watu wote duniya nzima na ushahidi ninao.sasa hebu niwekee ushahidi wa utajiri binafsi wa hiyo familia yako tuone.
Sio duniya.......