mussamutagaiwa
Member
- Sep 12, 2011
- 14
- 3
Jamani nimzimu gani umewaingilia hawa jamaa wamelazimishia mpaka lema kavuliwa ubunge, sasa kinachofuata ni vita mji wa arusha kwani bado tuna kumbukumbu za vifo vilivyojitokeza uchaguzi mkuu na tunatarajia uchaguzi mdogo wa Arusha mambo yatakuwa yaleyale kwani CCM sasa walivyo na roho ngumu ya kutokubali matokeo watalazimishia Ushindi hiwe isiwe watataka washinde wao na hapo ndo Misri na Libya itarudi Bongo
Chadema tujipange kwa hilo
Nimeumia saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana.
Chadema tujipange kwa hilo
Nimeumia saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana.