Hivi ni mpaka aharibikiwe ndio akukumbuke?

Hivi ni mpaka aharibikiwe ndio akukumbuke?

Unaona hiyo screenshot, ni comments zote zinatukana na ukifuatilia nyingi ndio uhalisia uliopo na kumbuka hao sio waafrika sasa, assume tatizo ni kubwa kiasi gani!
Ngoja nikuibie siri hao wanaoponda wala hawana shida na mara nyingi ni utani tu ,ila wale wanaojifanya wapo Hamble ndio waharibifu namba moja wapo mawindoni tu😁
 
Hakuna jokes za namna hii, ana body shame mwanamke kisa alimkataa akazalishwa huko, anamlimganisha na mabinti wadogo, dada yake akifanyiwa hivi hawezi kufurahia! Hii sio sahihi kabisa!
Sijui kwa nini ila huwa naona maneno ya watu ni mengi kuliko uhalisia.
Hasa mtandaoni.
 
Back
Top Bottom