Insabhunsa Gusa
Senior Member
- May 13, 2011
- 109
- 88
Wana jf,
Naomba mnisaidie hapa..nijuacho ni kwamba raisi akivunja baraza, hutangazwa na kuwa gazzeted!! Katika kipindi chote hiki cha vuguvugu la baraza jipya, sijawahi sikia tangazo rasmi likisema raisi kalivunja baraza na kwamba ataliunda upya!! Na kama hakulivunja..itakuwaje kwa wale mawaziri ambao hawajabadilishwa wizara zao kama John Pombe na Bernad Membe, wataapishwa kwa sababu zipi ili hali wao wanaendelea na wizara zao na kwamba baraza halikuvunjwa??!!!! Naipenda Tanzania yangu!!!!!!!!
Naomba mnisaidie hapa..nijuacho ni kwamba raisi akivunja baraza, hutangazwa na kuwa gazzeted!! Katika kipindi chote hiki cha vuguvugu la baraza jipya, sijawahi sikia tangazo rasmi likisema raisi kalivunja baraza na kwamba ataliunda upya!! Na kama hakulivunja..itakuwaje kwa wale mawaziri ambao hawajabadilishwa wizara zao kama John Pombe na Bernad Membe, wataapishwa kwa sababu zipi ili hali wao wanaendelea na wizara zao na kwamba baraza halikuvunjwa??!!!! Naipenda Tanzania yangu!!!!!!!!