Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 43
Juzi nimesikia kwenye habari polisi wamewaua majambazi 6 wenye silaha nzito za kivita na mabomu, kinachonishangaza hkuna polisi hata mmoja aliyejeruhiwa (siombei wajeruhiwe), kwenye mpambano huo.
mm nahisi hawa jamaa walikamatwa na kupigwa risasi. hii imetokea kigoma
mm nahisi hawa jamaa walikamatwa na kupigwa risasi. hii imetokea kigoma