Hivi ni Kweli tabia inaendana na kabila??

Hivi ni Kweli tabia inaendana na kabila??

ikhwaan

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
220
Reaction score
48
Watu wengi wamekuwa wakiwahusisha watu kutoka mikoa flani flani hapa tz na tabia ya uzinzi,sasa wakuu je ni Kweli Kuna uhusiano wowote Kati ya Tabia na kabila???
 
Genaral principle:
Yes!

The law of earth is belief! You are what you believe! You believe what you see! You see what going on on your society! What going on on your society are conditions of the rules they believe!
Therefore you cant believe out of your perception!
Mf: Wakurya na kipigo!
Wachaga kwa hela!
Wazaramo kwa vigodoro!
Wapemba kwa kuzaa!
Wasukuma kwa kuhonga!
Nk nk!

Exceptionally
No!

Utofauti wa uelewa na ujinga wa watu katika jamii husika! Hapa kuna suala la:
Elimu!
Zodiac signs!
Malezi!
Nk nk!

Tusikariri wadau, Haistahili kumjudge mtu kwa kabila lake! Yatupasa tuzingatie issue zingine (kama exceptions hapo)!
 
Genaral principle:
Yes!

The law of earth is belief! You are what you believe! You believe what you sea! You sea what going on on your society! What going on on your society are conditions of the rules they believe!
Therefore you cant believe out of your perception!
Mf: Wakurya na kipigo!
Wachaga kwa hela!
Wazaramo kwa vigodoro!
Wapemba kwa kuzaa!
Wasukuma kwa kuhonga!
Nk nk!

Exceptionally
No!

Utofauti wa uelewa na ujinga wa watu katika jamii husika! Hapa kuna suala la:
Elimu!
Zodiac signs!
Malezi!
Nk nk!

Tusikariri wadau, Haistahili kumjudge mtu kwa kabila lake! Yatupasa tuzingatie issue zingine (kama exceptions hapo)!

bas sawa
 
Watu wengi wamekuwa wakiwahusisha watu kutoka mikoa flani flani hapa tz na tabia ya uzinzi,sasa wakuu je ni Kweli Kuna uhusiano wowote Kati ya Tabia na kabila???

Tabia haiendani na kabila. Mila na desturi ndiyo zinaendana na makabila.
 
Genaral principle:
Yes!

The law of earth is belief! You are what you believe! You believe what you sea! You sea what going on on your society! What going on on your society are conditions of the rules they believe!
Therefore you cant believe out of your perception!
Mf: Wakurya na kipigo!
Wachaga kwa hela!
Wazaramo kwa vigodoro!
Wapemba kwa kuzaa!
Wasukuma kwa kuhonga!
Nk nk!

Exceptionally
No!

Utofauti wa uelewa na ujinga wa watu katika jamii husika! Hapa kuna suala la:
Elimu!
Zodiac signs!
Malezi!
Nk nk!

Tusikariri wadau, Haistahili kumjudge mtu kwa kabila lake! Yatupasa tuzingatie issue zingine (kama exceptions hapo)!

I like this!
 
Watu wengi wamekuwa wakiwahusisha watu kutoka mikoa flani flani hapa tz na tabia ya uzinzi,sasa wakuu je ni Kweli Kuna uhusiano wowote Kati ya Tabia na kabila???

Ilikuwa hivyo huko nyuma lakini sasa ni mchanganyiko tu!
 
Back
Top Bottom