Hivi ni kweli nabii mwingila kabaka?

chepe salum

New Member
Feb 26, 2012
1
0
Ni maajabu kusikia nabii anabaka,bado siamini mbona hajashitakiwa?au ndio mambo ya mwenye kesi ya kuiba kuku kuhukumiwa mwaka mmoja jela,fisadi wa epa anaombwa arudishe mabilioni aliyoiba.
 
Wewe hukuona tamko la maaskofu wenzake? Inasemekana alikuwa anamtakasa mke yule, ni ritual ya kawaida kwa watumishi hawa!
 
Back
Top Bottom