Hivi ni kweli mtandao wa Affars umegoma au ni serikali haina fedha?

desmond3076

JF-Expert Member
Jul 29, 2015
278
182
ndugu wanajamvi,

Ni takribani tangu serikali imalize bajet na kuingia mwaka wa fedha mpya ni miezi miwili sasa, huu mtandao wa uhasibu uitwao Affars umekua ukikarabatiwa na tamisemi pamoja na idara ya fedha lakini umekua ukionesha 'demo' tu .

Yaani ni balaa, sasa uendeshaji wa shule,idara mbalimbali na taasisi umekuwa mugumu kisa Affars , mtandao haujafunguka kila wakati ni kalenda tu, mara wiki ijayo, mara sijui nini? hivi jamani mpaka leo najiuliza kulikoni.

Ninachofikiria labda serikali haina hela mambo yamekuwa magumu hawataki tu kusema ukweli, na si kisingizio kuwa mtandao sijui umefanyeje, kama hawana hela si wawambie watu ukweli.
 
Heshimu sheria na kanuni za uyumishi wa umma.Hapa siyo mahali pake,kama haurlewi nenda kaukize kwa TT au mhasibu wa wilaya atakuelewesha
Wewe ni mtumishi wa umma hebu kuwa matured.
 
ndugu wanajamvi,
ni takribani tangu serikali imalize bajet na kuingia mwaka wa fedha mpya ni miezi miwili sasa, haka kamtandao kao ka uhasibu kaitwako ffars kakiratibiwa na tamisemi na idara ya fedha kamekuwa kanaonesha tu (demo) yaan ni balaa, sasa uendeshaji wa shule na idara mbalimbali na taasis umekuwa mugumu kisa FFARS eti mtandao haujafunguka kila wakati ni kalenda tu, mara wiki ijayo, mara sijui nini? hivi jamani mpaka leo najiuliza kulikoni.
ninachofikiria labda wajomba(serikali) haina hela mambo yamekuwa magumu hawataki tu kusema ukweli, na si kisingizio kuwa mtandao sijui umefanyeje, kama hawana hela si wawambie watu ukweli​
Hapa sio sehemu sahahi ya utatuzi wa changamoto yako. Wasiliana na mamlaka husika zinazokusimamia.
 
Serikali inajaribu kwa digital.siku zote kubadilosha mfumo siyo.kazi nyepesi.kuna kipindi.cha mpito.sema tu kama kina nia njema mambo yatatengemaa tuu
 
Heshimu sheria na kanuni za uyumishi wa umma.Hapa siyo mahali pake,kama haurlewi nenda kaukize kwa TT au mhasibu wa wilaya atakuelewesha
Wewe ni mtumishi wa umma hebu kuwa matured.
Kila kitu siri siri tu. Kwani uwazi na uwajibikaji haviruhusiwi tena? Hiyo taarifa sio hatari kwa usalama wa nchi. Hapa unataka ijadiliwe mahusiano tu na mambo tasiyo ma tija kwa taifa? Toeni majibu kama mnayo. Hii bureaucracy inachelewesha sana mambo.
 
Mbaya zaidi kuna watumishi wengine wanategemea mishahara yao ikiwa ni sehemu za activities kwenye hio mifumo sasa wanaenda mwezi wa tatu hawajalipwa kwa maana hio hakuna utendaji tena inarudisha nyuma sana ufanisi kazini hasa kipindi ifungwapo. Ningeomba wahusika wawe wanafanya kwa wakati sahihi, nawaza familia za wale watumishi chini ya halmashauli wanaishije ikiwa hawajapata mshahara mwezi wa tatu huu.
 
Mbaya zaidi kuna watumishi wengine wanategemea mishahara yao ikiwa ni sehemu za activities kwenye hio mifumo sasa wanaenda mwezi wa tatu hawajalipwa kwa maana hio hakuna utendaji tena inarudisha nyuma sana ufanisi kazini hasa kipindi ifungwapo. Ningeomba wahusika wawe wanafanya kwa wakati sahihi, nawaza familia za wale watumishi chini ya halmashauli wanaishije ikiwa hawajapata mshahara mwezi wa tatu huu.
Ukitumia mshahara wako kwenye kazi za serikali,hujaitendea haki familia yako.Jiuzulu nafasi hiyo haraka.
 
Ukitumia mshahara wako kwenye kazi za serikali,hujaitendea haki familia yako.Jiuzulu nafasi hiyo haraka.
kiukweli unachosema si sahihi, mshahara ni fedha ya kujikimu kama muajiriwa, mpaka unafikia kuhitaji kupata kazi ya kuajiriwa ni kuwa unahitaji kuwa na kipato cha kujikimu. mengineyo yatakuja baada ya kupata kipato cha kujikimu.
 
Back
Top Bottom