Keleuwii hii Kali kulikoMiti huwa inafanya mapenzi usiku wa manane,huwa inasogeleana,sisi ambao huwa tunatembea usiku huwa tunajionea
Miti huwa inafanya mapenzi usiku wa manane,huwa inasogeleana,sisi ambao huwa tunatembea usiku huwa tunajionea
Nimeona mti mmoja Inama nijichumie
Aahhhhh mbona miashoki ndege wanakaa jamani??? Hasa hasa kunguruNi kwamba chunguza mti na ndege, mti mbaya ndege huwa hatui wala kujenga kiota humo. Mpanga uzazi ni mfano wa miti ya hovyo!
Mmmmh nmegaili kula kwamchepuko ngoja niongeze bill kwamamantilieNyama inaekwa kwa papuchii adi ioze alaf wapewa ule ndo libwata la uchafu ilo linalo ongelewa km sikosei
Nimeamini kuwa hii miti mingine ni nuksi, pine tree (miashoki) inateketeza IsraelNi kweli usemayo, miti mingine ina maajabu yake,
Mf: Mti wa Muashoki, hii miti watu wanaipanda tu ila ni mti mibaya kabisa,
Mf: Mti wa 'uzazi wa mpango' huu nao una mabalaa yake mengi tu,
Kiufupi miti kama vilivyo viumbe hai vingine vina mambo yake na maajabu yake.
Kuna mti hutoa ka maziwa hivi huo mti huwa haukatwi maana ukiukata unakua kichaa au Ku rest in peace
Ipo mi 4 mbele ya nyumba yetu. Vyema ungesema ina mabalaa gani tujue cha kufanya.Una mabalaa sio balaa, kama umeipanda fanya kuikata.
Walituambiaga mti wa uzazi wa mpango ni mmbaya lakini sina taarifa ya mti wa Miashoki kama na yenyewe ni mibayaNi kweli usemayo, miti mingine ina maajabu yake,
Mf: Mti wa Muashoki, hii miti watu wanaipanda tu ila ni mti mibaya kabisa,
Mf: Mti wa 'uzazi wa mpango' huu nao una mabalaa yake mengi tu,
Kiufupi miti kama vilivyo viumbe hai vingine vina mambo yake na maajabu yake.
Hapo ya kukaa chini ya mti umenikumbusha long time ago nilikua na tabia nikiwa down naenda coco beach kuna mti flan nilikua napenda kukaa, nawazaaa nikitoka hapo lazima nitoke na solution,Inasemekana kuna mti maarufu huko Gilberton, Alabama Marekani. Mwanamke mwenye jina la Linnie Jenkins alikuwa akilalama anasikia sauti ngeni na vilio zikitoka kwenye mti wa Pecan uliokuwa mbele ya nyumba yake. Jambo hili lilivuta vyombo vya habari, na mwaka 1981 maelfu ya watu walikuja kushuhudia jambo hilo la mti wa ajabu. Na baadaye iligundulikana kwamba nyumba ile ilikuwa imejengwa juu ya makaburi ya zamani ya kihindi, na watu wakaamini vile vilio vilkuwa ni vya wale wafu waliokufa miaka ya huko nyuma.
Ushawahi kusikia "HUNA"? Huna ni falsafa ya kale ya watu wa Hawaii. Wao huamini kwamba kila kitu ni hai, kinawajibika na kina ufahamu. Kwahiyo kila kitu kina roho.
Huna hufundisha kwamba roho huungana hata kama ni za watu au vitu tofauti. Mfano: roho ya binadamu huendana kiukaribu na roho ya binadamu mwenziwe, lakini pia huweza endana na za wanyama kama vile farasi na mbwa.
Huna huamini pia binadamu huendana roho na miti na ndio mana pale tunapoona mti au miti hukatwa huwa tunaguswa kwasababu fulani. Ni kwasababu kuna muungano upo baina yetu. Hata baadhi ya watu pale wanapojisikia kukwazwa, kujisikia vibaya ama kutengwa hupenda kukaa chini ya miti kupumzika. Ama matawini.
Kwa mujibu wa Kerrian Flanagan.