the mkerewe, nadhani hujui unachochangia 1.unatakiwa kujua kuandamana ni haki ya msingi/kikatiba ya mwananchi yeyote kama njia mojawapo ya kuadai haki yake au kupinga hali eg.kulipa dowans,mambo ya IPL,EPA n.k 2.serikali au polisi kupiga mabomu au kubugudhi raia/watu waliokusanyika pamoja bila kufanya fujo ni kuingilia uhuru wa kikatiba(ref:right to assemble) 3.tz ni nchi ya vyama vingi ambavyo jukumu la msingi(primary objective) la kila chama cha siasa ni kuchukua uongozi wa nchi-na hili ni kupitia kwa kunadi sera za chama husika kwa wananchi na hapo tegemea sera tofauti kutoka kwa kila chama,kwa maantiki hiyo basi CDM kama chama cha siasa hakileti fujo kama unavyofikiri ila wanajitahidi kunadi sera tofauti na CCM,CUF,UDP,TLPn.k ili wachaguliwe lakn sababu watu wenye mtazamo kama wa kwako wa kudhan kila kitu wanaweza wao na ukipingana nao inakua nongwa wana supress ile haki ya vyama vya siasa. 4.hapo nyuma migomo haikuwepo ingawa matatizo yalikuwepo sbb wanafunzi walijua hali ya kifedha ya serikali labda si mzuri unlike now hela ya kulipwa dowans ipo tena ilipwe haraka iwekanavyo lakn hela ya kusomesha wanafunzi less than ya dowans haipo 5.slaa sio muongo kama unavvyofikiria hayo unayofikiri hayawezekan ni kwamba yanawezekana kama kuna proper means ya ku-allocate resources za nchi na good scale of preference.