Ndugu wa na jamii imefikia kipindi tujiulize njia stahiki za kutatua matatizo ya migomo katika vyuo vikuu vyetu, kuwapiga mabomu ya machozi wanafunzi wanapo taka suluhu ya matatizo yao sinauhakika kama ni njia harisi na halali kwa kutatua matatizo yao. Kwanza kabisa tunapo wapiga mabomu lazima tujiulize nini gharama ya machozi yao, pia ni lazima tujue ni kwakiasi gani wanaongezewa maumivu, kwasababu tayari wanamaumivu ya matatizo halafu wanatwikwa mzigo mwingine wa mabomu ya machozi. Je hivi nikweli wana JF suluhisho la migomo vyuo vikuu ni mabomu ya machozi?