Hivi ni kweli migomo vyuo vikuu suluhisho lake ni mabomu ya machozi?

Nhunda

Member
Feb 4, 2011
17
1
Ndugu wa na jamii imefikia kipindi tujiulize njia stahiki za kutatua matatizo ya migomo katika vyuo vikuu vyetu, kuwapiga mabomu ya machozi wanafunzi wanapo taka suluhu ya matatizo yao sinauhakika kama ni njia harisi na halali kwa kutatua matatizo yao. Kwanza kabisa tunapo wapiga mabomu lazima tujiulize nini gharama ya machozi yao, pia ni lazima tujue ni kwakiasi gani wanaongezewa maumivu, kwasababu tayari wanamaumivu ya matatizo halafu wanatwikwa mzigo mwingine wa mabomu ya machozi. Je hivi nikweli wana JF suluhisho la migomo vyuo vikuu ni mabomu ya machozi?
 
Ndio njia pekee ya kuwaambia wanachuo na wananchi kuwa hatutaki kuwasikiliza. kwanza watoto wa wakubwa wengi hawapo hapa vyuo vya tanzania. Wale waliopo hawashiriki migomo kwa kuwa wanapewa fedha na hao mafisadi.
Nakumbbuka vizuri maandamo ya 2004 yaliyofanywa na UDSM kupinga kuanzishwa kwa bodi ya mikopo lengo likiwa ni kuondoa ubaguzi ambao wanauita "madaraja ya mikopo" Walipiga sana mabomu, polisi wakaiba sana simu za mikononi za wanafunzi lakini polisi hao hao leo hawawezi kusomesha watoto wao vyuo vikuu, wamekuwa kama maroboti wanafanya kila wanaloambiwa hata kama linapingana na katiba ya nchi "maandamano"
Naomba itokee siku ya Tunisia na Misri yatokee tanzania, mm nitakuwa mstari wa mbele. Fedha za kulipa dowans zipo lakini za kukopesha wanafunzi ambazo ni MKOPO na zitrudishwa hazipo!!! uchizi huo
 
ndio manake wanaleta siasa za CDM (fujofujo) kwani shida vyuoni zimeanza leo mbona huko nyuma haikuwa hivi migomo kwa wingi kama sio kudanganywa na SLAA?

PIGA HAO WAENDE WAKASHAKI KWA SLAA
 
the mkerewe, nadhani hujui unachochangia 1.unatakiwa kujua kuandamana ni haki ya msingi/kikatiba ya mwananchi yeyote kama njia mojawapo ya kuadai haki yake au kupinga hali eg.kulipa dowans,mambo ya IPL,EPA n.k 2.serikali au polisi kupiga mabomu au kubugudhi raia/watu waliokusanyika pamoja bila kufanya fujo ni kuingilia uhuru wa kikatiba(ref:right to assemble) 3.tz ni nchi ya vyama vingi ambavyo jukumu la msingi(primary objective) la kila chama cha siasa ni kuchukua uongozi wa nchi-na hili ni kupitia kwa kunadi sera za chama husika kwa wananchi na hapo tegemea sera tofauti kutoka kwa kila chama,kwa maantiki hiyo basi CDM kama chama cha siasa hakileti fujo kama unavyofikiri ila wanajitahidi kunadi sera tofauti na CCM,CUF,UDP,TLPn.k ili wachaguliwe lakn sababu watu wenye mtazamo kama wa kwako wa kudhan kila kitu wanaweza wao na ukipingana nao inakua nongwa wana supress ile haki ya vyama vya siasa. 4.hapo nyuma migomo haikuwepo ingawa matatizo yalikuwepo sbb wanafunzi walijua hali ya kifedha ya serikali labda si mzuri unlike now hela ya kulipwa dowans ipo tena ilipwe haraka iwekanavyo lakn hela ya kusomesha wanafunzi less than ya dowans haipo 5.slaa sio muongo kama unavvyofikiria hayo unayofikiri hayawezekan ni kwamba yanawezekana kama kuna proper means ya ku-allocate resources za nchi na good scale of preference.
 
ndio manake wanaleta siasa za CDM (fujofujo) kwani shida vyuoni zimeanza leo mbona huko nyuma haikuwa hivi migomo kwa wingi kama sio kudanganywa na SLAA?

PIGA HAO WAENDE WAKASHAKI KWA SLAA

usitumie makalio kuwaza. tumia ubongo.
 
ndio manake wanaleta siasa za CDM (fujofujo) kwani shida vyuoni zimeanza leo mbona huko nyuma haikuwa hivi migomo kwa wingi kama sio kudanganywa na SLAA?

PIGA HAO WAENDE WAKASHAKI KWA SLAA

Kwahiyo unataka kusema kabla ya Chadema kuanzishwa hapakuwa ni migomo vyuoni?
Jamani sio lazima kila mada uchangie, kama huna point kuwa msomaji tuu.
 
Unacharazwa nini, au na wewe ni polisi. Asilimia kubwa ni std 7 na form 4 zero div. Na watoto wenu hamuwezi hata
kuwasomesha univarsity. Bata jike we.
 
ndio manake wanaleta siasa za CDM (fujofujo) kwani shida vyuoni zimeanza leo mbona huko nyuma haikuwa hivi migomo kwa wingi kama sio kudanganywa na SLAA?

PIGA HAO WAENDE WAKASHAKI KWA SLAA
Sina hakika kama we ni mtanzania.!!!!!!!!!!!!!
 
Kimsingi ndani ya Vyuo vyote vikuu kuna matatizo makubwa na ya Msingi ambayo pengine hayataki ama hawataki kuyaweka wazi. Kuna ukosefu mkubwa wa sehemu za malazi kwa wanafunzi, kutozingatia vigezo vya utoaji mikopo, Uhaba wa Wahadhiri na nafasi za kufundishia, pesa ndogo ya kujikimu. Ssa ukichanganya na ubovu wa uongozi wetu basi tunachochea vurugu ambazo watawala hawazitaki kwani zinakuwa kero badala ya mwongozo katika utatuzi wa tatizo husika...... :A S crown-1:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom