playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,647
- 1,565
Hahahaaaaa mnashangaza sana yani mnahisi wanaopata hasara ni medias tu...hamumfikirii na jamaa?.coz siyo kweli kwamba tz nzima wataskiza wasafi fm tu mzee au kuangalia wasafi tv tuu...hakuna mkubwa zaidi ya taasisi...hakuna taasisi ya kipuuzi ya kumpigia magoti mtu aina ya Diamond hakuna.You are damn right
My basic point is... Kwanini hizi mediA ambazo zinahisi zina bifu nae (tena bifu la kijinga) zisikutane na Mondi at round table..and settle the matter out..
Don't they see the money they can make...!!??
Uchawi ni ktu kibaya sana.
Sent using Jamii Forums mobile app