Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Baada ya kuwatumainisha Watanzania wengi wenye hamu ya mabadiliko katika Nchi hii pendwa ya Tanzania, inashangaza kuona kamba CDM haisikiki tena iwe kwenye vyombo vya Habari vinginevyo. Katibu Mkuu sijui kaenda kusoma au likizo haifahamiki. Hatuambiwi List of Shame wala Kupigania Rasilimali za Umma! CDM imebaki kwenye mdororo unaotia huruma!
Swali dogo la kujiuliza ni kwamba ni kweli Katibu Mkuu aliyepo viatu vinampwelepweta kiasi hicho hadi CDM inapumulia mashine au umaarufu wa Chama hiki haukuwa ni Sera bali maandamano na Vurugu? Ni nani Afisa Habari wa CDM hivi sasa na anafanya nini? Ni lini ule ushahidi mliosema mnao kwa miaka 8 utatumika kumfikisha mliomtuhumu Mahakamani? Au mliwandanganya Watanzania na kwamba hamna lengo la kushika dola? Nauliza tu. Swali dogo!!
Swali dogo la kujiuliza ni kwamba ni kweli Katibu Mkuu aliyepo viatu vinampwelepweta kiasi hicho hadi CDM inapumulia mashine au umaarufu wa Chama hiki haukuwa ni Sera bali maandamano na Vurugu? Ni nani Afisa Habari wa CDM hivi sasa na anafanya nini? Ni lini ule ushahidi mliosema mnao kwa miaka 8 utatumika kumfikisha mliomtuhumu Mahakamani? Au mliwandanganya Watanzania na kwamba hamna lengo la kushika dola? Nauliza tu. Swali dogo!!