Albahi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2020
- 480
- 579
Kwanini asiamini na ni mke wako?Wengi wao hawaamini
Kwanini asiamini na ni mke wako?Wengi wao hawaamini
Sijaelewa point yakono savings, investments, business au salary au hata wages kama unapendwa kutumwa.. halafu mwanamume kusema hana pesa.. aiseee huyo si atakuwa mvivu au? bora awe na hayo matatu ya mwanzo juu hata kama ameamua kuwa na cheo au kazi kufanya mahala. kama mwanamume hana hayo na anasema hana fedha hiyo ni shida kubwaaaaa.. ndoa itakuwa na madoa.. kama anayo hayo akasema hana cash basi hata million unaweza kumupa kama pocket money. ukijua atapata tu za kuweka mkononi na pesa zinajiongeza sehemu kadhaa wa kadhaaaa kwa kufaidisha familia sasa na miaka ijayo.. wanawake sio wafujaji pesa kama asilimia kubwa ya wanaume.. wanawake wanajua kutunza pesa.. wengi wanazo na uwafichawaume.. kwasababu.. waume wengi nimesikia story nyingi wanapenda kuona za muke zinaisha.. ndipo wanakuwa wabahiri.. usiombee ukasema huna pesa kama una hayo ya manne au huna.. halafu ukajulikana una muchepuko.. utakomaaaa..
Ndo nawashangaa hata Mimi!!!Hivi siku hizi bado mnaoa
Kwanini uishiwe yaani?
Kwanini uishiwe yaani?
Kwa uzembe wa wahudumu.Hata ATM kuna mida huishiwa pesa.
Ndugu zangu habarini za mwisho wa wiki,
Kuna muda mwanaume unaishiwa hadi mwendo wa kutembea unachange.
Kwa uzembe wa wahudumu.
Nguvu na akili kakupa au hajakupa?Basi na kwetu hivyo hivyo, kwa uzembe wa 'mpaji' tunaishiwa!
Nguvu na akili kakupa au hajakupa?
Kama nguvu na akili kakupa basi ni uzembe wako mwenyewe.Kila kitu mpaji ni yeye tu, hivyo ikitokea uzembe tunamshukuru kwa kila jambo!
Hakuna Mwanaume mpambanaji anaefulia muda woteno savings, investments, business au salary au hata wages kama unapendwa kutumwa.. halafu mwanamume kusema hana pesa.. aiseee huyo si atakuwa mvivu au? bora awe na hayo matatu ya mwanzo juu hata kama ameamua kuwa na cheo au kazi kufanya mahala. kama mwanamume hana hayo na anasema hana fedha hiyo ni shida kubwaaaaa.. ndoa itakuwa na madoa.. kama anayo hayo akasema hana cash basi hata million unaweza kumupa kama pocket money. ukijua atapata tu za kuweka mkononi na pesa zinajiongeza sehemu kadhaa wa kadhaaaa kwa kufaidisha familia sasa na miaka ijayo.. wanawake sio wafujaji pesa kama asilimia kubwa ya wanaume.. wanawake wanajua kutunza pesa.. wengi wanazo na uwafichawaume.. kwasababu.. waume wengi nimesikia story nyingi wanapenda kuona za muke zinaisha.. ndipo wanakuwa wabahiri.. usiombee ukasema huna pesa kama una hayo ya manne au huna.. halafu ukajulikana una muchepuko.. utakomaaaa..
Basi subiri ukue utaelewa tu..Sjaelewa point yako
Mnapenda kulishwa bila kwenda hata nje ya boksi.. mimi siwezi andika gazeti..Jaribu kurudia kuandika vizuri maelezo yako huo muandiko. Umeniacha njia panda
Mawifi ni wanawake pia.Vipi na wale mawifi wanaomsakama mkeo wakihisi kaka yao anafilisiwa na mkeo?
Wale huwa hawahisigi kama kaka yao haishiwi pesa?
Vipi? Wewe Pesa zimekuishia?? Pesa hakuna kwa mfuko??Ndugu zangu habarini za mwisho wa wiki,
Leo naombeni walioko kwenye ndoa hasa wanawake wanisaidie jambo moja ambalo nimeliona. Mara kadhaa nimesikia wanawake wakisema kuwa "Mwanaume haishiwi pesa" kitu ambacho kiukweli wanaume wanajua kuwa si kweli. Kuna muda mwanaume unaishiwa hadi mwendo wa kutembea unachange.
Naombeni kujua uhalisia upoje ni baadhi ya wanawake wachache tu ndio huamini hivyo au ndio wote mpo hivyo?
Yaani mwanaume hata akisema hana hela lakini utakuta mwanamke huyuhuyu haamini juu ya hilo
Mawazo yenu na michango yenu ni muhimu kwa ajili jambo hili.
Natanguliza shukrani