Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
Sina hela ya kwangu haifanani na ya kwako.
Sina hela yangu inaweza maanisha hela iliyopo ni kwaajili ya dharula pekee.
Wakati wewe unamaanisha ulikuwa unakunywa bia tatu kwa siku sasa unakunywa kachupa kamoja tu.
Au unamaanisha umeshindwa kujaza gari mafuta na hivyo unapanda daladala.
Zipo aina nyingi za kuishiwa. Mkeo inabidi aelewe aina yako ya kuishiwa.
Sina hela yangu inaweza maanisha hela iliyopo ni kwaajili ya dharula pekee.
Wakati wewe unamaanisha ulikuwa unakunywa bia tatu kwa siku sasa unakunywa kachupa kamoja tu.
Au unamaanisha umeshindwa kujaza gari mafuta na hivyo unapanda daladala.
Zipo aina nyingi za kuishiwa. Mkeo inabidi aelewe aina yako ya kuishiwa.