kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,558
- 16,713
Wakuu nauliza tu,
Hivi ni kweli wako wanawake wasiotaka kuolewa kabisa?
From their own will, hawataki kuolewa. Binafsi sijawahi kutana na mdada/mwanamke wa hivi. Wengi wakikosa wakuwaoa ndiyo wanajitengenezea mazingira ya kuponda kuolewa. Ninaamini wanaume wasiopenda kuoa wapo. Tujiulize kinabaubaga ni kweli kuna wanawake kwenye jamii zetu seriously hawataki kuolewa?
Hivi ni kweli wako wanawake wasiotaka kuolewa kabisa?
From their own will, hawataki kuolewa. Binafsi sijawahi kutana na mdada/mwanamke wa hivi. Wengi wakikosa wakuwaoa ndiyo wanajitengenezea mazingira ya kuponda kuolewa. Ninaamini wanaume wasiopenda kuoa wapo. Tujiulize kinabaubaga ni kweli kuna wanawake kwenye jamii zetu seriously hawataki kuolewa?