mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Hahahaaa careenjibebe kuna vingine unavipenda zaidi ila hujavitaja buanaMie ni shahid wa hili...nampenda mume wa mtu mpaka basi...napenda tembea yake ongea yake yaan napenda kila kitu chake ila tatizo lake tu ni jeuriiii uwiii..