Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,477
Habari wadau wa nguvu wa JF.
Nimesikia watu wakisema mapenzi yana gundu. Yaani kama kuna jambo zuri lenye manufaa unataka kulifanya, eti ni bora msifanye mapenzi na mapenzi/mchumba/ mume au mkeo hadi utakapoanza kufanikisha jambo hill.
Mara nyingi mambo kama hayo ni Maombi/sala, interview ya kazi, kufungua biashara Mara ya kwanza, safari, na nyinginezo.
NB: Masuala hata ni yale ya muda mfupi wa siku moja wiki au wiki mbili. Sio mtengane mwezi au mwaka utaibiwa.
Mdau moja kaenda mbali na kusema hata katika Bible, Waisraeli wakipitia jambo gumu hutengana na wenza wao kwa muda.
Wajuvi karibuni kwa michango yenu.
Nimesikia watu wakisema mapenzi yana gundu. Yaani kama kuna jambo zuri lenye manufaa unataka kulifanya, eti ni bora msifanye mapenzi na mapenzi/mchumba/ mume au mkeo hadi utakapoanza kufanikisha jambo hill.
Mara nyingi mambo kama hayo ni Maombi/sala, interview ya kazi, kufungua biashara Mara ya kwanza, safari, na nyinginezo.
NB: Masuala hata ni yale ya muda mfupi wa siku moja wiki au wiki mbili. Sio mtengane mwezi au mwaka utaibiwa.
Mdau moja kaenda mbali na kusema hata katika Bible, Waisraeli wakipitia jambo gumu hutengana na wenza wao kwa muda.
Wajuvi karibuni kwa michango yenu.