Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,176
Mazingira yanachangia bana
Kama umeishi wa watu ambao ni wasafi sana, lazima watakuathiri kiaina
Hebu angalia tu hata wavulana ambao walilelewa na mama mkali, lazima watandika vitanda
Hata wakienda kujitegemea, huwa wanatandika vitanda mara nyingi
Ukarimu ni suala pana zaidi
Lakini hata ukarimu bado unafundishika
Kama umeishi wa watu ambao ni wasafi sana, lazima watakuathiri kiaina
Hebu angalia tu hata wavulana ambao walilelewa na mama mkali, lazima watandika vitanda
Hata wakienda kujitegemea, huwa wanatandika vitanda mara nyingi
Ukarimu ni suala pana zaidi
Lakini hata ukarimu bado unafundishika
Hivi Kongosho UKARIMU unafundishika au ni TABIA ya kuzaliwa nayo??..Na inawezekana mtu akazaliwa na TABIA ya UCHAFU??....