Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Toyota Land Cruiser - 2011 Pictures & Photo Gallery
2011 Toyota Land Cruiser SUV Models and Prices
Mimi nashindwa kuelewa, ukiangalia katika website ya Toyota, bei ya Land Cruiser VX G8 ni US$ 68,020 ambazo kwa Tsh. ni kama 102,000,000 tu, hata ukiweka gharama za kusafirisha haitofika milioni 280!!!. Sasa izo bei za milioni 280 zinatoka wapi? Ninavyojua serikali hailipii ushuru magari yake...afu kitu kingine cha ajabu, ukienda kwenye website ya Toyota (T) limited, jamaa hawaonyeshi bei za haya magari!
Hawa Toyota(T) limited nafikiri wanakula na watu serikalini..na kwanini serikali kupitia kwa wakala wake wa manunuzi wasiwe wananunua moja kwa moja magari yao? kwani ni lazima wawatumie Toyota (T) limited au CFAO motors? (formerly known as DT DOBIE (T) Limited)... Yaani hii serikali yetu kila sehemu inachemsha na kuweka mianya ya watu kechezea fedha za umma.
Kwa serikali iliyo makini na yenye wakala wa manunuzi ya vyombo vya usafiri vya serikali, middlemen kama akina Toyota(T) ltd na CFAO motors ni wastage ya resources. Hakuna haja ya kua nao..Fullstop.
Nawasilisha.
2011 Toyota Land Cruiser SUV Models and Prices
Mimi nashindwa kuelewa, ukiangalia katika website ya Toyota, bei ya Land Cruiser VX G8 ni US$ 68,020 ambazo kwa Tsh. ni kama 102,000,000 tu, hata ukiweka gharama za kusafirisha haitofika milioni 280!!!. Sasa izo bei za milioni 280 zinatoka wapi? Ninavyojua serikali hailipii ushuru magari yake...afu kitu kingine cha ajabu, ukienda kwenye website ya Toyota (T) limited, jamaa hawaonyeshi bei za haya magari!
Hawa Toyota(T) limited nafikiri wanakula na watu serikalini..na kwanini serikali kupitia kwa wakala wake wa manunuzi wasiwe wananunua moja kwa moja magari yao? kwani ni lazima wawatumie Toyota (T) limited au CFAO motors? (formerly known as DT DOBIE (T) Limited)... Yaani hii serikali yetu kila sehemu inachemsha na kuweka mianya ya watu kechezea fedha za umma.
Kwa serikali iliyo makini na yenye wakala wa manunuzi ya vyombo vya usafiri vya serikali, middlemen kama akina Toyota(T) ltd na CFAO motors ni wastage ya resources. Hakuna haja ya kua nao..Fullstop.
Nawasilisha.