Pyepyepye
JF-Expert Member
- Jan 6, 2017
- 1,940
- 3,825
Utalihi = utalii
Kiswahili chetu kinapelekwa wapi jamani?
Leo nimeboresha afya yangu. Kucheka kunaboresha sana afya. Yaani nimecheka mpaka mbavu zimeuma.Hebu nenda kwanza ukajifunze kiswahili ndiyo uje hapa boya mkubwa wewe.....halafu eti umesoma mpaka chuo duh! ...eti bizaha? utarihi?kubari? utumbo mtupu
Itakuwa aritoka jumahatano!!!.Ivi yule Mtanzania wa Uharabuni alitoka Tanzania lini? nauliza tu
Nimecheka sana,umejua kunifurahisha.
Nimecheka sana,umejua kunifurahisha.
Maana nilitaka kusema mwingine huyo!
haya sasa , utata leo umethibitishwa! mambo ya kusubili subili!Mkuu,
Sidhani kama kuna serikali inayopenda raia wake wapate maradhi haya.
kuna Mamlaka husika zitasema kama kuna changamoto hii hapo nchini.
Tuache kupiga ramli zisizo na mpango.
Shukrani
Sijui wamefundishwa na walimu wa wapiKiswahili chetu kinapelekwa wapi jamani?
Tabu kutafuta herufi kweny keyboard ila utakayoion inaleta maana una attach tu sio kwamba mtu hawezi kuandika je angeandika barua ya kazi angeandika ivyo?