Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,073
- 34,844
- Thread starter
- #141
Asante sana mkuu eddiom na Wewe ujumbe wako ni mkali kuliko ujumbe wa kwangu na ujumbe wako umewafikia Wahusika hao Mafisadi asdante sana na Ubarikiwe mkuu.Bro Mzizimkavu ujumbe wako unashinda kusoma gazeti zima... picha moja tu ni ujumbe tosha kwa umma huu wa kiTanazania..
nacho tamani ni viziwi, wehu, majambazi, na hata wadokozi (walioko madarakani) waone haya kwa haya wanayo wafanyia waTanzania.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wapeprushe wasio na uchungu na nchi ya Tanzania na wananchi wake..
Tuhakikishie coz no research no right to speak