Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
FL hili swala kweli lipo na hii inatokana na kuchokana na pia saa nyingine wa mama tunajiachia sana, inabidi kila wakati uwe unaita.
mbu upo?
baby anakusalimia sana....!
eti mbu kuna mabadiliko yoyote ya tabia-teamo kabla na baada ya kuwa na kale ''kamgeni''?
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao
Tatizo tukishawaoa na nyie mnapunguza mvuto, badala ya kujiremba kama wakati tunaiba mnajiacha hovyo na hasa mkishazaa mpaka mwamme anakuwa hana hamu ya mapenzi. Kingine mnatupikia mapochopocho mengi kiasi kwamba tunakuwa Obese na perfomance inapungua!!
ngoja uolewe na wewe utayaona. bnafsi naona wasichana wengi wanajisahau sana baada ya kuolewa na ndio maana nyumba ndogo haziwezi kuisha
kabla ya kuoa kuku anakua sio wako.lazima umshikie manati (ujitume mpaka jasho la damu linaweza kutoka) ndo uweze kumuiba.lakini ukishaoa kuku anakua wako, manati ya nini.
Sio wanaume tu hata wanawake walioolewa nao pia wanakuwa wavivu, ndio maana kunakuwa na nyumba ndogo nyingi.
Oyaaa!
Jamani tuoneeni huruma!
Spidi hiyo tutapata wapi, wakati unajua niko na wewe 24/7?...Nikilala upo, nikiamka upo, nikistuka usingizini upo, nikigeukia upande wa pili upo..huh!, sa nguvu zote hizo zitoke wapi besti?
Usilinganishe mambo ya uchumba na ndoa sista!..ni kama mbingu na ardhi!.Hujaona watu wanaenda kwenye appointment na mchumba wakiwa na mashati ya kuazima?..ambapo kwenye ndoa tunakula kilichopo!ray:
Kua uyaone!
Halafu staili hiyohiyo kila siku....lazima hamu itapungua.
Nashangaa!! Ndio maana wanaume hukimbilia kwenye nyumba ndogo, nasikia wao hujituma na ni wabunifu!
Mi nilikuwa nafikiri wanawake ndiyo huwaga hawajitumi, labda kutokana na majukumu ya nyumbani.
Uchovu na..........................kumbe na wanaume nao ni wavivu......................!!!!!!
kuna mabo kadhaa nionavyo;
kwanza wanawake tunapenda sana maandali, by maandalizi I mean not just physical but also meantally. kwa mfano mpo kazini wote, mwenzio anakupigia simu anakujulia hali na kuongelesha maneno matamu ya mapenzi. hapo tayari mwana mama utaanza kufikiria tendo na ukifika nyumbani utajituma
pia wanawake tunapenda kujua kuwa mwenzio anakufikiria, so kumhonga mwenzako vijizawadi vidogo vidogo pia is a part of foreplay.
also jaribuni kubadilisha mazingira, kwa mfano mnaweza mkaamua lunch time mkapelekana guest/hotel mkapigana cha chap chap, kwa kweli inakuwa inaleta msisimuko wa aina yake
cha kushangaza ivi vyote wanaume huvifanya wakati wa uchumba wakishaoa wanasahau, mi nasema inabidi waendeleze. sio kumpigia sim mwenzio mpaka kuwe na jambo la kifamilia au la dharura.
naomba kuwakilisha
Mhhh ya wapi hii. kwa hiyo sio mnaanza safari pamoja?
kwahiyo mwanamke akuhamasishe wewe tu,kisha umparamie mwenzako kisa mwiko uko tayari kupikia.huo ni ubinafsi mkubwa
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao
Babu........
Abee mama!