Hivi ni kwanini wanaume waliooa ni wavivu katika mapenzi..?

Tambara Bovu

JF-Expert Member
Dec 19, 2007
585
140
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao
 
Tatizo tukishawaoa na nyie mnapunguza mvuto, badala ya kujiremba kama wakati tunaiba mnajiacha hovyo na hasa mkishazaa mpaka mwamme anakuwa hana hamu ya mapenzi. Kingine mnatupikia mapochopocho mengi kiasi kwamba tunakuwa Obese na perfomance inapungua!!
 
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao
Utake usitake utakutananae tu
 
ngoja uolewe na wewe utayaona. bnafsi naona wasichana wengi wanajisahau sana baada ya kuolewa na ndio maana nyumba ndogo haziwezi kuisha
 
kabla ya kuoa kuku anakua sio wako.lazima umshikie manati (ujitume mpaka jasho la damu linaweza kutoka) ndo uweze kumuiba.lakini ukishaoa kuku anakua wako, manati ya nini.
 
Sio wanaume tu hata wanawake walioolewa nao pia wanakuwa wavivu, ndio maana kunakuwa na nyumba ndogo nyingi.
 
[tatizo ni kwamba wanawake wakishaolewa hujisahau katika manjonjo mimi nimeoa lakini nikikutana na mke wangu nikijiatahidi sana ni bao mbili ila nikikutana na totoz nyingine naenda hata mara nne sababu ya majonjo hapo hamna ubishi kabisa yaani mkeo sanasana bao moja ndio unakuta walio wengi wanaishia hapo.
kwa hiyo mwenye nafasi ya kumhamasisha mwanaume ni mwanamke sio mwingine ukiangalia mavazi ya usiku na manjonjo mengine
 
Unajua nini? kuna wengine wanapenda chakula cha usiku kila siku! hapo pia hupunguza matamanio kwa mwenzi wako. hivyo inafikia kipindi unaona ni bora liende tu, asije akasema leo ulipita wapi!
 
Oyaaa!
Jamani tuoneeni huruma!

Spidi hiyo tutapata wapi, wakati unajua niko na wewe 24/7?...Nikilala upo, nikiamka upo, nikistuka usingizini upo, nikigeukia upande wa pili upo..huh!, sa nguvu zote hizo zitoke wapi besti?

Usilinganishe mambo ya uchumba na ndoa sista!..ni kama mbingu na ardhi!.Hujaona watu wanaenda kwenye appointment na mchumba wakiwa na mashati ya kuazima?..ambapo kwenye ndoa tunakula kilichopo!:pray:

Kua uyaone!
 
Oyaaa!
Jamani tuoneeni huruma!

Spidi hiyo tutapata wapi, wakati unajua niko na wewe 24/7?...Nikilala upo, nikiamka upo, nikistuka usingizini upo, nikigeukia upande wa pili upo..huh!, sa nguvu zote hizo zitoke wapi besti?

Usilinganishe mambo ya uchumba na ndoa sista!..ni kama mbingu na ardhi!.Hujaona watu wanaenda kwenye appointment na mchumba wakiwa na mashati ya kuazima?..ambapo kwenye ndoa tunakula kilichopo!:pray:

Kua uyaone!
Na kweli akue ayaone

The Following User Says Thank You to PakaJimmy For This Useful Post:

The Finest (Today)​
 
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao

FL hiyo red na bluu nisaidie tafadhali imaana nimechanganyikiwa
 
Oyaaa!
Jamani tuoneeni huruma!

Spidi hiyo tutapata wapi, wakati unajua niko na wewe 24/7?...Nikilala upo, nikiamka upo, nikistuka usingizini upo, nikigeukia upande wa pili upo..huh!, sa nguvu zote hizo zitoke wapi besti?

Usilinganishe mambo ya uchumba na ndoa sista!..ni kama mbingu na ardhi!.Hujaona watu wanaenda kwenye appointment na mchumba wakiwa na mashati ya kuazima?..ambapo kwenye ndoa tunakula kilichopo!:pray:

Kua uyaone!
mkuu wangu piijeeey....
hebu tusaidie kuijibu hii bolded & enlarged part...

Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao
 
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao


khe khe kheeeeeeeeeeeeee....

Ati hujaolewa halafu umefanya uchunguzi halafu unaprevent, kweli dunia ina mambo!!!! haya bana nawaachia ambao hawajaoa wajifunze kuzuia uvivu wetu
 
Unajua nini? kuna wengine wanapenda chakula cha usiku kila siku! hapo pia hupunguza matamanio kwa mwenzi wako. hivyo inafikia kipindi unaona ni bora liende tu, asije akasema leo ulipita wapi!
Halafu staili hiyohiyo kila siku....lazima hamu itapungua.
 
khe khe kheeeeeeeeeeeeee....

Ati hujaolewa halafu umefanya uchunguzi halafu unaprevent, kweli dunia ina mambo!!!! haya bana nawaachia ambao hawajaoa wajifunze kuzuia uvivu wetu

Umeonaaa eehhh hata mie kanichanganya
 
khe khe kheeeeeeeeeeeeee....

Ati hujaolewa halafu umefanya uchunguzi halafu unaprevent, kweli dunia ina mambo!!!! haya bana nawaachia ambao hawajaoa wajifunze kuzuia uvivu wetu
MTM Kheeee Kheeeeee
 
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao

we mama wewe haya bana.....!

sasa unawowa halaf unakuwa na mainfii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom