Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Kaka Cofee-Mo, habari yako mkuu
natoka povu mkuu....
festiledi ananizalilisha hivi hivi
Kaka Cofee-Mo, habari yako mkuu
Halafu hivi kwenye ndoa ni mwanaume peke yake ndiye anapaswa kujituma????
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao
Sasa ukimstimulate sana si atawahi kumaliza mapema
natoka povu mkuu....
festiledi ananizalilisha hivi hivi
mwajadili nin?
uvivu na kujituma ndoan? iende
aya misjakua bado...:rain:
CPU aisee mdogo mdogoKaribu mrembo, najua haunifahamu lakin mimi nakufuatilia balaa
Nadhani 'nyumba ndogo' ndio wanaweza sema kama wanaume waliooa ni wavivu au la...
Karibu mrembo, najua haunifahamu lakin mimi nakufuatilia balaa
Upo very fast komredi! LolKaribu mrembo, najua haunifahamu lakin mimi nakufuatilia balaa
haya basi kama kuna nyumba ndogo humu waseme
Upo very fast komredi! Lol
FL,
Kwa kuwa watuhumiwa hapa ni kina sisi wanaume wenye ndoa pengine si busara tukaanza kujitetea tu.
Kamilisha tuhuma yako kwetu kwa kuwaomba kina dada/mama wa JF walioolewa waseme hadharani hapa kama wanachokipata hakikidhi haja au la. Tuhuma hizi ni kubwa sana FL,
Unajua kadri tunavyokaa kwenye ndoa inamaanisha na umri unasonga (mme na mke), with age kuna vitu viapungua ama kuondoka.
Hebu tuambieni jamani tujijue maana inawezekana tunajisifu kwa kutoa huduma bora usiku kumbe si lolote.
CPU aisee mdogo mdogo
Sio wanaume tu hata wanawake walioolewa nao pia wanakuwa wavivu, ndio maana kunakuwa na nyumba ndogo nyingi.
CPU aisee mdogo mdogo
Leo mmeguswa nyie basi visingizio kibao, mnavyotusemaga wanawake mara this mara that huku mna nyumba ndogo lukuki kumbe ni uzembe wenu..baeleze bana Firstlady, mwanaume siyo kuchomeka tu!!.. Nami naomba nisikutane na taip hiyo!!
Kaka AD bado hajatokea tu jamvini, ukizubaa ekstenshen kebo itafanya extenshen