PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Aisee..mkuu wangu piijeeey....
hebu tusaidie kuijibu hii bolded & enlarged part...
Nimebaki hoi na eneo hilo pia!
Anasema wanaume wajifunze mahitaji ya wake zao na ya maInfii wao!...
Kwanza dada atuombe radhi, maana hapo anatufunza kuwa infii ni part and parcel katika ndoa!
Sa na wewe Teamo si unaona madhara ya yale masheria yenu ya hiyo nanihii...si unaona eeh?...Mmemlisha sumu FL!...huh!