wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Tangu napata akili kipindi naanza kwenda mafundisho ya sunday school hadi nasoma kipaimara kwa sisi wakristo katika kitabu kitakatifu cha biblia katika vitabu vyote vilivyopo ndani ya biblia
Hakuna siku au mda mara moja kiongozi wa kipindi au mchungaji kanisani kwenye biblia : kitabu cha wimbo ulio bora" sura ya mwanzo hadi mwisho haijawahi kutolewa mstari hata mmoja tunafundishwa.
Hua wanarudia baadhi ya vitabu hadi mistari mingine tumeshaikariri hadi tumeichoka.
Je, ni kwanini hii mistari ya hiki kifungu cha wimbo ulio bora inatengwa?kwani sio mistari ya kutufundisha haifai?kwani imewekwa ya nini? Kama wanaona haifai kwa nini chuo cha biblia wasiirekebishe au kuitoa kama inawekwa tuu alafu hatufundishwi inarukwa?
Hakuna siku au mda mara moja kiongozi wa kipindi au mchungaji kanisani kwenye biblia : kitabu cha wimbo ulio bora" sura ya mwanzo hadi mwisho haijawahi kutolewa mstari hata mmoja tunafundishwa.
Hua wanarudia baadhi ya vitabu hadi mistari mingine tumeshaikariri hadi tumeichoka.
Je, ni kwanini hii mistari ya hiki kifungu cha wimbo ulio bora inatengwa?kwani sio mistari ya kutufundisha haifai?kwani imewekwa ya nini? Kama wanaona haifai kwa nini chuo cha biblia wasiirekebishe au kuitoa kama inawekwa tuu alafu hatufundishwi inarukwa?