Hivi ni kwanini sadaka zisitozwe kodi?

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,886
Nimekuwa nawaza kuna makongamano, sadaka na malipo fulani fulani kwenye organization. Hivi TRA huwa wanakusanya namna gani ushuru au kodi? Unakuta kwenye makanisa pesa nyingi sana zinakusanywa na zote anakula mchungaji wakati serikali inamlinda na yeye hachangii chochote.

Vile vile kuna haya makongamano. watu wanatozwa kiingilio pesa zote wanakula wao. Ninaomba tu nifahamu hivi haiwezekani zitozwe kodi.

Ni ufahamu tu.
 
Nilikuwa naiomba serikali iyaangalie Haya makanisa kwa jicho la KODI(TAX).Mfano kuna kanisa Moja linaitwa AICT(African Inland Church of Tanzania) hili kanisa lina umri wa miaka 112 sasa lkn makao makuu yake yanazidiwa hata na makao makuu ya parokia Moja ya kanisa la Romani Catholic.
Hili kanisa lilikuwaga na miradi mingi na ilikuwa ina run vizuri tu kabla wazungu hawajaondoka, baada ya white men kuondoka maasikofu walioachwa wakaligeuza kanisa kuwa mradi wa familia zao na washikaji zao, hakuta tena la maana linaloendelea ndani ya kanisa(dhehebu) hili.
Cha muhimu kabisa naishauri serikali ianzishe utaratibu wa kuyatoza kodi madhehebu ya mfano wa hilo nililolitaja halo juu.Hili ni jipu linalohitaji kutumbuliwa kwa kuwatoza kodi tu.Ujanja ujanja sasa basi..
 
kwa sababu wao wanadai ni non profit organization
Mkuu samahani nitaenda nje ya mada,hivi huyu jamaa anatutukana na kutufedhehesha waafrika kila siku then wewe ukamuweka kama profile picture yako unajisikia fahari gani na mtu huyu?
 
Nimekuwa nawaza kuna makongamano, sadaka na malipo fulani fulani kwenye organization. Hivi TRA huwa wanakusanya namna gani ushuru au kodi? Unakuta kwenye makanisa pesa nyingi sana zinakusanywa na zote anakula mchungaji wakati serikali inamlinda na yeye hachangii chochote.

Vile vile kuna haya makongamano. watu wanatozwa kiingilio pesa zote wanakula wao. Ninaomba tu nifahamu hivi haiwezekani zitozwe kodi.

Ni ufahamu tu.

Ya Mungu MPE MUNGU ya Kaisari mpe Kaisari.
 
Nilikuwa naiomba serikali iyaangalie Haya makanisa kwa jicho la KODI(TAX).Mfano kuna kanisa Moja linaitwa AICT(African Inland Church of Tanzania) hili kanisa lina umri wa miaka 112 sasa lkn makao makuu yake yanazidiwa hata na makao makuu ya parokia Moja ya kanisa la Romani Catholic.
Hili kanisa lilikuwaga na miradi mingi na ilikuwa ina run vizuri tu kabla wazungu hawajaondoka, baada ya white men kuondoka maasikofu walioachwa wakaligeuza kanisa kuwa mradi wa familia zao na washikaji zao, hakuta tena la maana linaloendelea ndani ya kanisa(dhehebu) hili.
Cha muhimu kabisa naishauri serikali ianzishe utaratibu wa kuyatoza kodi madhehebu ya mfano wa hilo nililolitaja halo juu.Hili ni jipu linalohitaji kutumbuliwa kwa kuwatoza kodi tu.Ujanja ujanja sasa basi..

AIC napendaga kwaya zao tu, wanaimba vizuri sana.
 
Mkuu samahani nitaenda nje ya mada,hivi huyu jamaa anatutukana na kutufedhehesha waafrika kila siku then wewe ukamuweka kama profile picture yako unajisikia fahari gani na mtu huyu?
jamaa nakubaliana na sera zake ,napenda watu wanaponisema vibaya kwa kua wananifanya nifanye maarifa na juhudi ili niwe bora , ilatusianzishe mjala katikati ya mjadala maana itakua hatumtendei haki mtoa mada
 
Sehemu za ibada na mambo yote yanayohusu yana msamaa wa kodi... hayafanyi biashara kwa maana ya kujipatia kipato... hayana kitu kinachoitwa Faida au Hasara... yanajiendesha kwa kutegemea misaada... kama hivyo sadaka... sadaka ni msaada kutoka kwa mchangiaji...
 
Nilikuwa naiomba serikali iyaangalie Haya makanisa kwa jicho la KODI(TAX).Mfano kuna kanisa Moja linaitwa AICT(African Inland Church of Tanzania) hili kanisa lina umri wa miaka 112 sasa lkn makao makuu yake yanazidiwa hata na makao makuu ya parokia Moja ya kanisa la Romani Catholic.
Hili kanisa lilikuwaga na miradi mingi na ilikuwa ina run vizuri tu kabla wazungu hawajaondoka, baada ya white men kuondoka maasikofu walioachwa wakaligeuza kanisa kuwa mradi wa familia zao na washikaji zao, hakuta tena la maana linaloendelea ndani ya kanisa(dhehebu) hili.
Cha muhimu kabisa naishauri serikali ianzishe utaratibu wa kuyatoza kodi madhehebu ya mfano wa hilo nililolitaja halo juu.Hili ni jipu linalohitaji kutumbuliwa kwa kuwatoza kodi tu.Ujanja ujanja sasa basi..
Yaani hapa ndipo shida inapokutikana. Japo siungi mkono makanisa kutozwa kodi, ila sijawahi kupata jibu sahihi ni kwanini makanisa yakiwa chini ya ngozi nyeupe hushine kwa kuanzisha miradi mingi ambayo huendelea vizuri lkn hawa watu wa ngozi nyeupe pindi wakikabidhi kila kitu kwa wazawa na wao kuondoka zao ndipo majanga huanza. Baada ya muda mfupi tangu wakabidhi na kuondoka utakuta miradi yote kwishnei hata kupaka rangi kanisa tu huwa ni shiiiiida!!!
 
Back
Top Bottom