Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,612
- 1,410
Kuna mtoto wa kwanza (kaka au dada), mara nyingi anakuwa hana maisha. Kuna mtoto wa mwisho au wa kati kati, hawa ndio huwa nguzo na hubarikiwa kifedha na kuiinua familia.
Kuna mtoto aliye karibu mno na baba au mama.
Kikubwa ni hiki, kwanini wanaofanikiwa karibu katika kila familia huwa si wazaliwa wa kwanza?
Kuna mtoto aliye karibu mno na baba au mama.
Kikubwa ni hiki, kwanini wanaofanikiwa karibu katika kila familia huwa si wazaliwa wa kwanza?