UP TO DATE
JF-Expert Member
- Apr 20, 2021
- 740
- 898
Binafsi siamini kabisa hayo Mambo,na pia uzao wa Kwanza ninao wajua karibu wote wamefanikiwa kwa Hali zote...
Kuweza kupambana na umaskini huo lazima watu waache kuzaa hovyo hovyo.Ni kwa sababu jamii zetu nyingi bado zipo katika kizazi cha kwanza cha kiuchumi. Katika jamii zilizopiga hatua katika maswala ya kiuchumi, hamna kitu kama hicho.
Angalia jamii zenye biashara kubwa za kifamilia kama vile Waarabu, Wahindi na Wazungu.
Kama ni valid basi ingekuwa universal, ingeapply hata kwa familia ya Rockerfeller, kina Walmart, British royal family, kina Rostam, Mo, Dangote, familia ya Kenyatta, Moi, Jaramogi etc.
Tatizo kubwa ni umaskini wa kurithi na changamoto(constraints) za kimazingira.
Imagine umesoma kwa shida toka day one unaanza shule, unasoma kwa bidii, unamaliza na shahada ya kwanza kabisa, Mungu ni mwema na ukapata na kazi yako ya kwanza na mshahara mzuri tu.
Lakini sasa wadogo zako nao bado wapo kila ngazi ya elimu kuanzia msingi. Wanahitaji msaada wako.
Wazazi kijijini wana nyumba ya msonge na kuezekwa na majani, wewe na shahada yako ukiona unachanganyikiwa. Unaona huna mahali pa kurudi likizo au unaogopa hata kuwapeleka marafiki zako akiwepo na mtoto wa watu atakayekupenda.
Wazazi hawana kitega uchumi chochote.
Sasa hapo utafanikiwaje haraka kiuchumi?
Huku mjini unahitaji vitu kibao kwa ajili ya geto lako na maisha yako ya kila siku.
Hakuna laana, shida ni umaskinj wa kurithi. Na inaweza kuwa na chain kali sana.
Unakuta upande wa babu mzaa mama nao ni maskini, upande wa babu mzaa baba nao ni hohe hahe, fukara.
Yaani poverty depth ni kubwa sana na hata severity yake inakuwa kubwa sana.
Sasa kinachowakuta wazaliwa wa kwanza ni "Poverty Severity" kutokana na familia nyingi za Sub Sahara Africa kuwa katika wakati wa kuchomoza jua la asubuhi(mawio).
Hizo Imani tu hakuna cha mtoto wa kwanza wala wa mwisho mafanikio yanategemea na wewe unajituma vipi..mengine porojo na kujazana ujinga tuKuna mtoto wa kwanza (kaka au dada), mara nyingi anakuwa hana maisha. Kuna mtoto wa mwisho au wa kati kati, hawa ndio huwa nguzo na hubarikiwa kifedha na kuiinua familia.
Kuna mtoto aliye karibu mno na baba au mama.
Kikubwa ni hiki, kwanini wanaofanikiwa karibu katika kila familia huwa si wazaliwa wa kwanza?
Huyu kama mimi hivi daaaahAlafu kuna mtoto mwingine anakuaga haeleweki dizain anakua kama kajitoa kafala, hasaidiki.
Umefanya uchunguzi kwa kiasi gani kujiridhisha hii ni hali halisi na si kughafilika kwako tu?Kuna mtoto wa kwanza (kaka au dada), mara nyingi anakuwa hana maisha. Kuna mtoto wa mwisho au wa kati kati, hawa ndio huwa nguzo na hubarikiwa kifedha na kuiinua familia.
Kuna mtoto aliye karibu mno na baba au mama.
Kikubwa ni hiki, kwanini wanaofanikiwa karibu katika kila familia huwa si wazaliwa wa kwanza?
Lakini ndivyo ilivyo mkuu,bata hawezi zaa kichecheIla hii sio kwa sehemu kubwa.
Hizi ni imani tu,hapa mtaani kwetu Kuna jamaa tupo nae ofcn,yeye ni mtoto wa mwisho,kaka zake wanamkwanja mrefu balaa,jamaa alipoanza kazi na kuoa,mmoja wa kaka zake akaamua kumwachia Mshikaji Lodge/guest house yake aiendeshe apate pesa na yeye ajijenge.Kuna mtoto wa kwanza (kaka au dada), mara nyingi anakuwa hana maisha. Kuna mtoto wa mwisho au wa kati kati, hawa ndio huwa nguzo na hubarikiwa kifedha na kuiinua familia.
Kuna mtoto aliye karibu mno na baba au mama.
Kikubwa ni hiki, kwanini wanaofanikiwa karibu katika kila familia huwa si wazaliwa wa kwanza?
Bila shaka we sio mzaliwa wa kwanzaKuna mengi yanayochangia iyo hali;
1. Umaskini wa familia/kutegemewa
2. Kuhisi kukataliwa/kutengwa hasa akizaliwa mdogo wake, ubaya wanajikuta wanakuwa na hiyo hali hadi ukubwani
3. Kutokubali kufundishwa, kujiona mkubwa.
4. Kuzidiwa tu maarifa na wadogo zake.
Ila kwa ujumla kufanikiwa kunatokana sana na mwenendo binafsi wa maisha ya mhusika.
ungesema hivi wazaliwa wa kwanza hasa wa kiumeKuna mtoto wa kwanza (kaka au dada), mara nyingi anakuwa hana maisha. Kuna mtoto wa mwisho au wa kati kati, hawa ndio huwa nguzo na hubarikiwa kifedha na kuiinua familia.
Kuna mtoto aliye karibu mno na baba au mama.
Kikubwa ni hiki, kwanini wanaofanikiwa karibu katika kila familia huwa si wazaliwa wa kwanza?
Hivi hizi imani potofu zitaisha lini? Inasikitisha sana, soma sababu hapa chini...Mzaliwa wa kwanza ni mlango wa kupitisha baraka Kwa ajili yake na Kwa ajili ya wengine
Kwa hiyo siku zote uelewe mlangoni ndio Mahali vita vinafanyikia
Tatizo waaafrika na sisi tunazaa mno watoto wengi wakati uwezo wa kuwalea ni wakuunga unga. Matokeo yake first born anaanza kujikuta ana jukumu la kulea wadogo zake 7 atapataje mafanikio sasa? Halafu wazazi wakishazaa wao wanajitoa utasikia "unajua mdogo wako kamaliza la saba"
hivi kumbe zee korofi wakt mwingine unaonaga mbali sanaa!! daaa jua kuwa Tangia eden watoto wa kwanza wana wivu sana kwao kufanikiwa ni sifuri sababu shetani anawawinda sana! ndo langoKuna mtoto wa kwanza (kaka au dada), mara nyingi anakuwa hana maisha. Kuna mtoto wa mwisho au wa kati kati, hawa ndio huwa nguzo na hubarikiwa kifedha na kuiinua familia.
Kuna mtoto aliye karibu mno na baba au mama.
Kikubwa ni hiki, kwanini wanaofanikiwa karibu katika kila familia huwa si wazaliwa wa kwanza?