Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,649
Na yeye pia ni mmoja wa wanaounda 'system'Unamuonea bure. Ni system nzima imeoza na inamponza.
Na yeye pia ni mmoja wa wanaounda 'system'Unamuonea bure. Ni system nzima imeoza na inamponza.
Mtu mmoja hata awe na nia nzuri gani peke yake hawezi shinda vita..Labda ungesema awamu yote ni weakest kama unazo sababu za ku compare.Lakn mtu mmoja hawezi beba dhambi za woteNa yeye pia ni mmoja wa wanaounda 'system'
Mtu mmoja hata awe na nia nzuri gani peke yake hawezi shinda vita..Labda ungesema awamu yote ni weakest kama unazo sababu za ku compare.Lakn mtu mmoja hawezi beba dhambi za wote
Tih tihi tihiiii.Yote heri.Siku njema....then he is the strongest PM.
Unamuonea bure. Ni system nzima imeoza na inamponza.
wote ni vilaza...wengi wao huteuliwa kwa fadhila na siyo utendaji wao.
The weakest PM in the history of this country.
nyerere alikuwa waziri mkuu na akawa rais
Hata nyerere alitupa ukapuni uwazir mkuu ili awe rais,sasa hawa wengine wanadhan kuandika historia ni rahis
We una akili sana,shule gn umepita mkuu
Ukiachilia Nyerere, hakuna waziri mkuu mwingine wa Tanzania ambae alifanikiwa kuja kuwa Rais wa nchi, kwa mfano Kawawa, Msuya, Salim, Warioba, Malecela, Sumaye, Sokoine, na kuna kila dalili kwamba at least kwa uchaguzi mkuu ujao 2015, CCM haitamsimamisha mgombea Urais kutokana na Mawaziri wakuu waliopita.
Sababu ya hili ni nini - je ni mpango maalum (kama vile unwritten principle) au huwa inatokea tu?
Huyu wa sasa ni second to Warioba aisee.Umemsahau Warioba,au ulikuwa hujazaliwa?
Sasa si umeshasema nyerere? na 2015 Tukifanya masihara Lowasa atakuwa