Rubi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,615
- 326
wataalamu naomba mnisaidie kunijuza. binafsi napenda sana kunywa uji hasa uji lishe kuliko kunywa chai hasa ikiwa ya rangi.
Tatizo nikisha kunywa uji baada ya muda kupita kama nusu saa hivi naanza kupatwa na usingizi natamani hata kulala nakuwa najitahidi kujizuia kulala kwa sababu niko kazini hivyo nitazunguka hapa na pale pia na kunywa maji ili nisisinzie.
Sasa ni kitu gani kinasababisha mtu kusinzia ukishakunywa uji?
Tatizo nikisha kunywa uji baada ya muda kupita kama nusu saa hivi naanza kupatwa na usingizi natamani hata kulala nakuwa najitahidi kujizuia kulala kwa sababu niko kazini hivyo nitazunguka hapa na pale pia na kunywa maji ili nisisinzie.
Sasa ni kitu gani kinasababisha mtu kusinzia ukishakunywa uji?