Kwanza: sema "Takwimu". Maana unauliza swali lako kwa Kiswahili, kjwa hiyo tumia Kiswahili.
Menginevyo, ukijisikia kuna ubora wowote kujipamba na maneno ya Kiingereza
1) acha kama hujui kuitamka
2) au tenganisha neno kwa silabi zake: sta - tis- tiks halafu tamka moja-moja