mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 188
Mzee mmoja aliagizwa sidiria na mkewe,alipofika dukan akawa amesahau size gan!Mama muuzaj akamwambia "njoo unishike maziwa Utakumbuka Ukubwa wa sidiria Uloagizwa" Mzee kuona hivyo akasema "Niliagizwa na chupi!" .