Siku ya Jana kuna mdau hapa Jf Jina limenitoka kidogo alikuja na uzi wa kuuza bandle nafuu zijulikanazo kama supa bando.
Number yake ya simu ya mkononi ni 0620 434 183. SIMON MSUYA.
Dili lilikua nipewe GB 10 kwa Tshs6,000. Nikaona kwani 6k kitu gani ngoja nitume tu,.
Jamaa kanitumia link nidownload hiyo app ya super bando kwa maelezo nitumie opera mini ndio itafanya kazi.
Baba nimedownload kutumia power engines zote, sijui opra mini, Mozila fire fox, internet explorer, Chrome na zingine zote unazojua lakini app haikufanya kazi.
namrudia ananiambia nisubiri masaa manne nikajua nimeshaliwa.
Guys when the deal is tooo good think twice!!!!
Japo nilikua najaribu ila mwishowe nimejiona bwege
Number yake ya simu ya mkononi ni 0620 434 183. SIMON MSUYA.
Dili lilikua nipewe GB 10 kwa Tshs6,000. Nikaona kwani 6k kitu gani ngoja nitume tu,.
Jamaa kanitumia link nidownload hiyo app ya super bando kwa maelezo nitumie opera mini ndio itafanya kazi.
Baba nimedownload kutumia power engines zote, sijui opra mini, Mozila fire fox, internet explorer, Chrome na zingine zote unazojua lakini app haikufanya kazi.
namrudia ananiambia nisubiri masaa manne nikajua nimeshaliwa.
Guys when the deal is tooo good think twice!!!!
Japo nilikua najaribu ila mwishowe nimejiona bwege