miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
waache kubana kila kitu
Hahahaha ulikuwa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015 sasa mmesogeza hadi lini?CCM inategemea DOLA kukaaa madarakani Mwishp wake umekaribiaaaaa
Si mlisema 2015 au ilikua ndoto na bado mnaota tena 2020. Mtasubiri sana hamana sera sahizi.2020
Naona umekuja na swaga mpya.Si mlisema 2015 au ilikua ndoto na bado mnaota tena 2020. Mtasubiri sana hamana sera sahizi.
Mwenyekiti CCM JF
Huo ndo ukweli na hakuna kingine.CCM inategemea DOLA kukaaa madarakani Mwishp wake umekaribiaaaaa
Usijali siku wala saa cha kuzingatia hapo ni kwamba KILA CHENYE MWANZO BASI NA MWISHO WAKE UPO pia usisahau HAKUNA MAREFU YASIO NA NCHA, wakati wa kun'goka umewadia.Mwaka gani mkuu?
Mwenyekiti CCM JF
Si mlisema 2015 au ilikua ndoto na bado mnaota tena 2020. Mtasubiri sana hamana sera sahizi.
Mwenyekiti CCM JF
Labda kama mlishinda njaa.. ata ufipa wanajua nani Raisi.Ungekuwa unatumia akili ungejua 2015,nani alishinda kati ya magufuli na lowasa.
Viongozi wako juu ndo wanaifahamu hiyoo siri wewe huwezi jua.
Sio leo wala hiyo 2020 labda 3045Usijali siku wala saa cha kuzingatia hapo ni kwamba KILA CHENYE MWANZO BASI NA MWISHO WAKE UPO pia usisahau HAKUNA MAREFU YASIO NA NCHA, wakati wa kun'goka umewadia.
Labda kama mlishinda njaa.. ata ufipa wanajua nani Raisi.
Mwenyekiti CCM JF