Niliambiwa na mbunge mmoja wa magamba kuwa huyo bwana thirty ndiyo alianzisha ishu ya posho wakiwa kwenye kikao cha matayarisho ya kuanza bunge ambapo kila mtu hutoa ideas zake na yaliyofanyika jimboni kwake. Aliwaasa wabunge wote kuweka kando tofauti zao za vyama. Kama Kaka Cheyo kwenye posho ya jimbo vile. CHADEMA wanatakiwa kudili na shibuda na huyu thirty mapema.