Hivi namba ya simu ni jambo la siri?

Hivi namba ya simu ni jambo la siri?

Afadhi ikawa siri na wakati mwingine kuwA na namba ya tofauti ya with muhimu kama familia,marafiki kuepusha usumbufu wa rejareja
 
Na vipi unapokuwa na namba ya simu ya mtu wakati yeye hajui kama unayo namba yake, siku unawasiliana naye kwa mara ya kwanza swali la kwanza ni; "nani kakupa namba yangu?". Silipendi kabisa hili swali.

kwanza mimi namba ngeni ukipiga lazima ujieleze
 
Namba ya simu haiwezi kuwa siri wala ya binafsi
 
Namba ya simu haiwezi kuwa siri wala ya binafsi. Kama unawasiliana na watu mbalimbali na wengine hata huwajui lakini wakitaka kukupigia au ukitaka kuwapigia unaweza. Sasa inakuwaje siri?
 
Nijuavyo mimi lengo la simu ni mawasiano,Inakuaje kwamba namba ya simu ionekane ni kitu cha siri sana kiasi kwamba watu wengi hukataa kuweka wazi au kupewa mtu mwengine bila ridhaa yake?
Kwani tatizo ni nini?

Kwa mimi namba yangu sio siri wala binafsi ila ukipiga simu haipokelewi kabisa we jaribu ujutee ukituma text wajibiwa za kumwagaaa tu.
Kwa wasumbufu huwa nawashughulikia kwa majibu ya pasua kichwa mpaka wachoke wala huhitaji kuiomba ipo huru kwa yeyote kwa mawasiliano yoyote wewe anza tu text zako upendavyo wala huuliziwi ulipoipata au aliyekupa utaulizwa wewe tu jina au jinsia yako inatosha na hili haliulizwi siku ya.mwanzo baada ya kuchat kwa muda kidogo.
Ukiona mtu anaifanya namba yake siri ujue huyo hana ujanja wa wasiwasi wake tu. Na pia hachererwi kuibadilisha kwa wasiwasi huo huo
 
Kwan lazima kuwasiliana. Ki msingi s tabia njema kugawa namba ya mtu bila ridhaa yake hiv we unaona imekaaje kugaiwa namba ako hovyo hovyo tu
 
Jinsi ilivyo namba za simu ulizo nazo asilimia 98 ni wale watu unaoendana nao ktk hali yako kimaisha.
Mifano:
1.anaetumia jiko la umeme hawezi kua na namba ya muuza mkaa.
2.Mvuvi hawezi kua na namba ya mchimba madini.
Labda wawe wana undugu.
Du nimeipenda hiyo.
 
Back
Top Bottom