Hivi nakwama wapi ndugu zangu!

Hivi nakwama wapi ndugu zangu!

Ndugu zangu wana jf ,, ndugu yenu nashindwa kuelewa na kwama wp kwan kila nikipata girl friend hauishi mwaka tushaachana ,, kupata mwingine ndo mtihani kabisaaa,,, pia licha ya kuwa na hao girlfriends wote sjawah ku do ,, nashindwa kuelewa nakwama wp

Mkuu wewe bikra??

Cc Kingsmann
 
Hapo ndipo unapokwamia mzee...unafikiri kazi ya kumvua mtoto wa watu chupi ni rahisi kiasi hicho?
Dah kweli sasa hapo ndo nashindwa kujua maneno gan ya busara ya kutumia
 
Back
Top Bottom