Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Nakumbuka mwaka 2009 wakati ndo nimemalza 4m 6, mzumbe university walikua wanaringa kuchukua wanafunzi 2naotegemea Heslb na badala yake wakawa wanachukua wa2 wenye dv 3 wengi kwa kigezo cha kwamba wao ni private sponsered.
Kiukwel mwenyewe wakati niko secondary nlikua na ndoto za kusoma mzumbe cku moja kutokana na sifa kem kemu nlzokuaga nazckia zikikitangaza hcho chuo, bac ikatoe muda wa kufanya application ulvofka,nkaaply udsm, mzumbe, IAA na udom.
Matokeo yangu hayakuwa mabaya sana kiac cha kunifanya nikose chuo chochote hapa ulimwenguni..cha kushangaza selection zlvotoka nkawa nimepata udsm, IAA, na Udom lakini mzumbe wakawa wamenipga chini.
Well nkaconfirm zangu kwenda udsm lakini nkiwa na huzuni kwan chaguo langu lilikua mzumbe na wao wamenpga chini, kufika udsm na nilipozoea shule..nkaanza kufanya comparisons kati ya udsm na mzumbe nione wapi pana shule ya ukweli,nkaja kugundua kwamba mzumbe wanahitaji miaka takribani 50 ili kufikia nusu ya mafanikio ilyonayo udsm..sasa nkawa najiuliza zile mbwembwe nlzokua nazkia kuhusu mzumbe zlikua ni za nin?
Baadae tcu wakashka rungu la kupangia wa2 vyuo,ndo siisikii tena hyo mzumbe kabisa,cjui imefia wapi vile,nimebaki kuckia madogo wakikimbilia kuaply udsm, sua, udom, ifm na muhimbili..cjui wamegundua mchezo gani mchafu unaochezwa huko mzumbe hadi hawakishobokei tena kama enzi ze2...
Kiukwel mwenyewe wakati niko secondary nlikua na ndoto za kusoma mzumbe cku moja kutokana na sifa kem kemu nlzokuaga nazckia zikikitangaza hcho chuo, bac ikatoe muda wa kufanya application ulvofka,nkaaply udsm, mzumbe, IAA na udom.
Matokeo yangu hayakuwa mabaya sana kiac cha kunifanya nikose chuo chochote hapa ulimwenguni..cha kushangaza selection zlvotoka nkawa nimepata udsm, IAA, na Udom lakini mzumbe wakawa wamenipga chini.
Well nkaconfirm zangu kwenda udsm lakini nkiwa na huzuni kwan chaguo langu lilikua mzumbe na wao wamenpga chini, kufika udsm na nilipozoea shule..nkaanza kufanya comparisons kati ya udsm na mzumbe nione wapi pana shule ya ukweli,nkaja kugundua kwamba mzumbe wanahitaji miaka takribani 50 ili kufikia nusu ya mafanikio ilyonayo udsm..sasa nkawa najiuliza zile mbwembwe nlzokua nazkia kuhusu mzumbe zlikua ni za nin?
Baadae tcu wakashka rungu la kupangia wa2 vyuo,ndo siisikii tena hyo mzumbe kabisa,cjui imefia wapi vile,nimebaki kuckia madogo wakikimbilia kuaply udsm, sua, udom, ifm na muhimbili..cjui wamegundua mchezo gani mchafu unaochezwa huko mzumbe hadi hawakishobokei tena kama enzi ze2...