Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Huyu mzee yuko wapi? Hajasikika toka alipotoswa na NEC ya ccm. Maskini alishajitabiria kuwa wanataka kumfanya grader; atumiwe kutengeneza barabara halafu ikikamilika azuiwe kupita juu yake! na ndivyo imekuwa. Huyu mzee alitumiwa sana kwenye chaguzi ndogo za wabunge pale ccm ilipokuwa inaelemewa. sijui sasa atatumiwa tena maana ni mtaalamu sana wa vita vya msituni, kampeni zake nyingi kwenye hizo chaguzi ilikuwa ni vikao vya siri na wasimamizi wa uchaguzi.