wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,008
- 28,342
Hua nasikia kwenye matangazo mbalimbali kama matamasha au maombi fulani au semina wakitangaza baadhi ya viongozi au waaalim fulani wa huchi kipindi wakati huohuo watasema pia kuna mwanazuoni au wanazuoni kutoka sehem au taifa lingine kuwa ataudhuria kwenye hilo somo je!huyu "mwanazuoni"ni mtu wa aina gani??au anashughulika na nini hadi anaitwa mwanazuoni.