Inategemea bana.Mimi nina mke mdogo ambaye tumepishana miaka 10 aisee ni boadi sana kuwa na mwanamke ambae umemzidi umri miaka mingi unakua km unaishi na mdogo wake au mwanao hana changamoto yoyote yaani yeye ni kumuamrisha tu
UmemalizaMkuu kikubwa ni uwezo wako wa kummiliki! Love her and let her know that you realy love her!
AwwMm mke wangu namzidi 12 yeye kazaliwa 1997 na mm 1985, lakini mapenzi ni ya moto moto yaani nampenda lakini pia namdekeza.Nayeye ananipenda na kikubwa zaidi ananiheshimu sana anajua napenda nini na ninachukia nini.Hata yeye sipendi kumuuzi mambo ambayo hapendi sipendi kumfanyia.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Mwenzio naona hapo ndo Safi Hana pesa, Nina katabia kakupenda wanaume wanaonizidi hivyo,
Hangaya wangu kumbe unafurahia ninavyokuzidi?Mwenzio naona hapo ndo Safi Hana pesa, Nina katabia kakupenda wanaume wanaonizidi hivyo,
Saaana nakuzimia ile mbayaHangaya wangu kumbe unafurahia ninavyokuzidi?
Pesa pesa pesa! Hata ungewa umemzidi miaka 40, ila kama huna unapoteza muda...Assume mm ni mwanaume, niko fresh kimuonekano, nina kazi, sijaoa, sina mtoto, nina miaka 33, hlf namtaka binti mwenye miaka 20, huyo binti anaweza ku-fall kimapenzi na mm? Huyo binti hatonichukulia mm kama babu yake au mtu mzima sana kwake? Hivyo kuwekwa kwenye category ya sponsor?
Nitaweza kushindana na vijana wa kiume wa rika lake wenye umri wa miaka 23? 24?
Naelewa mwanaume hata in your 30's unaeza pata binti Mwenye miaka 20 kwa ajili ya mahusiano, nnachouliza mm ni kuwa binti wa miaka 20 anaweza mpenda mwanaume mwenye miaka 30 toka moyoni? Bila kumpendea hela huyo mwanaume?
Wadada na wakaka wenye uzoefu wa haya mambo naomba mnijibu..
Ungekuwa unaelewa akili za hawa viumbe zipoje wala usingewaza.Assume mm ni mwanaume, niko fresh kimuonekano, nina kazi, sijaoa, sina mtoto, nina miaka 33, hlf namtaka binti mwenye miaka 20, huyo binti anaweza ku-fall kimapenzi na mm? Huyo binti hatonichukulia mm kama babu yake au mtu mzima sana kwake? Hivyo kuwekwa kwenye category ya sponsor?
Nitaweza kushindana na vijana wa kiume wa rika lake wenye umri wa miaka 23? 24?
Naelewa mwanaume hata in your 30's unaeza pata binti Mwenye miaka 20 kwa ajili ya mahusiano, nnachouliza mm ni kuwa binti wa miaka 20 anaweza mpenda mwanaume mwenye miaka 30 toka moyoni? Bila kumpendea hela huyo mwanaume?
Wadada na wakaka wenye uzoefu wa haya mambo naomba mnijibu..
Anafall in love with my money au mimi Principle girlNdiyo anafall inlove vizuri tu it depend on how you can handle and treat her..age is just a number!