Ninachofahamu ni kwamba maandalizi ni kwa ajili ya kutafuta utelezi.
Sasa mwanamke mjamzito, kwa uzoefu wangu, huwa utelezi upo muda wote (unatokea naturally kama maandalizi ya kuja kwa mtoto). Swali langu kwenu wenye ufahamu ni kutaka kujua kama kuna ulazima wowote wa maandalizi kwake.
Swali la nyongeza hivi huwa anajisikia hamu? Maana najua ujauzito hubadili maumbile ya viungo........huongezeka ukubwa kwa ajili ya maandalizi ya kutokea mtoto.
Sasa mwanamke mjamzito, kwa uzoefu wangu, huwa utelezi upo muda wote (unatokea naturally kama maandalizi ya kuja kwa mtoto). Swali langu kwenu wenye ufahamu ni kutaka kujua kama kuna ulazima wowote wa maandalizi kwake.
Swali la nyongeza hivi huwa anajisikia hamu? Maana najua ujauzito hubadili maumbile ya viungo........huongezeka ukubwa kwa ajili ya maandalizi ya kutokea mtoto.