Hivi mwanamke bila kuomba hela hakuna maisha?

mfwimijr

JF-Expert Member
Dec 11, 2014
203
152
Sasa hivi imejengeka kuwa tabia kwa wanawake mostly kuanzisha urafiki wa kimahusiano na mtu ila kwa lengo la kujinufaisha kwa mizinga isiyo na mwisho. Unaweza kutana na binti kwenye social media mkafanya charting za kutosha tu, akiona umejaribu kuonyesha interest kidogo basi kesho hakawii kukwambia hana hata hela ya kwenda lunch au anaomba unitumie nauli aje.

Hiyo inadhihirisha kuwa wanaouza huduma ni wengi ila utofauti upo kwenye maeneo ya kuuzia huduma.

Mambo haya athari zake huwezi kuziona kwa sasa ila umri unapokwenda na huna vision ya kuolewa na hakuna anayejaribu hata kukupa hiyo a hadi zaidi ya kupigwa katafunua, hapo unaanza kushinda JF kila siku kutafuta bwana.

Punguzeni mizinga isiyo ya lazima, kumbuka money may buy sex but not love, love needs a loyal heart
 
Mizinga inachosha jamani ,hata Lowasa baada ya kupigwa mizinga na Mbowe, makanisa hadi misikiti ameamua kusitaafu kwa lazima.

Yani unapigwa mzinga na kukatwa unakatwa kama kawa duh!
 
Mizinga inachosha jamani ,hata Lowasa baada ya kupigwa mizinga na Mbowe, makanisa hadi misikiti ameamua kusitaafu kwa lazima.

Yani unapigwa mzinga na kukatwa unakatwa kama kawa duh!
Kama huna cha kuchangia kaa kimya.. Kwa taarfa yenu 80% ya watanzania bado wana mapendo na imani kwa mamvi.. Na huyu mzee atawatesa sana hadi kaburini..
 
Atatutesa kwa lipi huku tulishamkata anachunga Nyumbu zake
Hujasoma Saikoloji ndomana, sikiza uelezwe..
UKIONA MTU ANATAJWATAJWA SANA JUA KUWA ANA KITU CHA ZIADA KUSHINDA WENGINE.
Nyie hamuishi kumtaja midomoni huyu baba maana ni tishio.. For your information ile kuwa anaenda kuchunga ni TECHNIC tu.. Ndio maana amewatia jambajamba kuwa 2020 yupo ulingoni tena na ameamua kujipanga baada ya kumwibia kura na kutumia nguvu kubwa ya jeshi ili mshnde..
Kama mmeshnda kweli mbona wananch wana huzuri badala ya furaha.
Sometimz usiwe shabiki sana bila ya kutumia akili yako
 
Hujasoma Saikoloji ndomana, sikiza uelezwe..
UKIONA MTU ANATAJWATAJWA SANA JUA KUWA ANA KITU CHA ZIADA KUSHINDA WENGINE.
Nyie hamuishi kumtaja midomoni huyu baba maana ni tishio.. For your information ile kuwa anaenda kuchunga ni TECHNIC tu.. Ndio maana amewatia jambajamba kuwa 2020 yupo ulingoni tena na ameamua kujipanga baada ya kumwibia kura na kutumia nguvu kubwa ya jeshi ili mshnde..
Kama mmeshnda kweli mbona wananch wana huzuri badala ya furaha.
Sometimz usiwe shabiki sana bila ya kutumia akili yako
Inategemea unaongelewa positive au negative.

Mamvi anaongelewa in negative way ndio maana anagaragazwa kila mahali
 
Hoya jamani eeeeeh, waacheni wajiajiri kazi hakuna,walio na kazi wanalalamika mshahara mdogo na ukiangalia tumewapa mimba kisha tumezikataa we unafikiri wale watoto watakula mawe????? Sasa hivi ieleweke wazi tu kuwa kazi hakuna na kila mtu atafute namna ya kujinasua na aibu ya kuitwa masikini na mimi nawaambia watoe kwenye maslahi muhimu walinde afya zao na yako na wewe/sisi wanaume tujue kuwa sasa hivi penzi ni kulipia tu.
 
Sababu kubwa ya wanawake kudai usawa ni kutokana na wanaume kushindwa kutimiza wajibu wao.......bado wanaume hatujui maana ya kuumbwa mwanaume....hajui sababu ya kuwa na kifua kipana na sauti nzito kama ya simba......mwanamke anaomba hela kwa kutimiza wajibu wa maumbile yake....kwani kwake yeye kumuomba mwanaume kitu ingawa yeye anacho kikubwa ni raha kwake.......
 
Hii mizinga ni shida sana hasa tunaokutana kwa social media hizi kimeo mno. Unaanza kutengenezewa story ya huzuni ili utoboke
 
Sababu kubwa ya wanawake kudai usawa ni kutokana na wanaume kushindwa kutimiza wajibu wao.......bado wanaume hatujui maana ya kuumbwa mwanaume....hajui sababu ya kuwa na kifua kipana na sauti nzito kama ya simba......mwanamke anaomba hela kwa kutimiza wajibu wa maumbile yake....kwani kwake yeye kumuomba mwanaume kitu ingawa yeye anacho kikubwa ni raha kwake.......
Mwanamke kupewa ni asili yake ndiyo maana hata mimba anapewa. Anapewa kitu cha thamani kubwa katika uhai wa binadamu sembuse hela ya vocha. Kama hutaki kutoa, hata mbegu zako kaa nazo tuone kama utapata mtoto. Cha mlevi huliwa na mgema
 
Mizinga inachosha jamani ,hata Lowasa baada ya kupigwa mizinga na Mbowe, makanisa hadi misikiti ameamua kusitaafu kwa lazima.

Yani unapigwa mzinga na kukatwa unakatwa kama kawa duh!

kukaa kimya napo pia ni hekima....siyo lazima uzungumze kila kinachokuja kichwan kwako
 
Mwanamke kupewa ni asili yake ndiyo maana hata mimba anapewa. Anapewa kitu cha thamani kubwa katika uhai wa binadamu sembuse hela ya vocha. Kama hutaki kutoa, hata mbegu zako kaa nazo tuone kama utapata mtoto. Cha mlevi huliwa na mgema
Umewlewa nilichokiandika....??
 
Inategemea unaongelewa positive au negative.

Mamvi anaongelewa in negative way ndio maana anagaragazwa kila mahali
We uloyejaa majungu na ushabiki wa kuchumia tumbo ndo unamuongelea in a negative way...
Anayemnanga mamvi na upinzani haitakii mema hii nchi..
Mamvi ameaambia aliye na evidence za ufisadi wake ampeleke mahakamani, ; nyie mnakaa kuongea pembeni kimajungumajungu.. Achen chip politics__mamvi atawatesa sana..
 
Back
Top Bottom