Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Yesu alikuwa akiitakasa sabato,yaani ilikuwa desturi yake kuitakasa sabato(luka 4:16).Sabato sio ya wayahudi kwa taarifa yako.Ilifanyika kwa ajili ya mwanaadamu(marko 2:27).Sasa wewe ni nani?Nikupe taarifa nyingine.Sabato ni ya BWANA,MUNGU,na si ya wayahudi(kutoka 20:10).
*Unasema quran ndo muongozo.Pengine hujui.Mtume wako anasema Musa na Haruni walipewa kitabu kipambanuzi kwa wacha Mungu(qur 21:48),je,na wewe ni mcha Mungu?Basi kitabu alichopewa Musa na Haruni ndo muongozo kwako na c alichopewa Muhammad.
*Mungu wako anamwambia mtume wako,hatakiwi kuhukumu ilhali torati ipo(qr 5:43).Sasa wewe hilo la kusema qurani ndo muongozo kwa wacha Mungu umelitoa wapi?Unabishana na mungu wako?Wewe na mungu wako nani mkweli?Tuambie sasa
Hizi porojo umeziokota kijiwe gani !?
Nimekuuliza Yesu kasema muabudu lini na vipi ?
Wayahudi na dini yao ya Uyahudi wanaabudu lini ?
Wakiristu nani kawaambie waabudu jumapili ?
Waabudu jumamosi ni 'manyani' tena yana laana ! Aliye na laana ya Mungu ni nani wa kumuongoa ?
 
Hizi porojo umeziokota kijiwe gani !?
Nimekuuliza Yesu kasema muabudu lini na vipi ?
Wayahudi na dini yao ya Uyahudi wanaabudu lini ?
Wakiristu nani kawaambie waabudu jumapili ?
Waabudu jumamosi ni 'manyani' tena yana laana ! Aliye na laana ya Mungu ni nani wa kumuongoa ?
Hayo ni maneno ya mtu aliyekosa hikma ya Mungu.Sasa nikwambie,ktk kuabudu sote tunatakiwa tumsikilize Mungu anatuambia nini,na si kujitungia.Mungu aliwaambia watu wote waitunze sabato awe myahudi,mkristo,muislam,budha,mpagani,n.k.Swali unalouliza ni wazi kuwa huna elimu.Sabato ilianza kabla ya wayahudi.Sherua ya Mungu ilifuatwa kuanzia adamu,Nuhu,Ibrahimu,Musa,n.k.Isipokuwa kipndi cha Ibrahimu haikuandikwa.Ila Mungu aliwafunulia na wao walikuwa wakifuata.Sabato si ya wayahudi,kwa taarifa yako hata Muhammadi pia alikuwa akiitunza sabato ya jumaamisi(qur 2:142) na ufafanuzi wake.
*Yesu ndiye aliyetoa sheria(amri kumi) na kumpa Musa akawape wanaadamu wote.Musa aliongozwa na Yesu kule jangwani(1wakorintho 10:1-4).Kila nabii anaongozwa na ushuhuda wa Yesu(ufunuo 19:10).Manabii wote ni lazima wawe na kauli moja,wasiwe kigeu geu yaani wasipingane.Kwa maana wametumwa na MUNGU mmoja tu asiyebadilika kimtazamo na mipango kama mwanaadamu(zaburi 89:34,qur Qr 17:77).Ndio maana Yesu akasema hakuja kubadili yaliyo kwenye torati wala vitabu vya manabii(math 5:17).Sasa kamq kuna mtu atakuja kuleta hoja ya kumpinga nabii Musa huyo ni nabii wa uongo.Mungu anasema roho za manabii huwatii manabii(1wakor 14:32).Jumaapili na ijumaa zimeletwa na wanaadamu.Wayahudi waliyakataa mafundisho ya Muhammad kwa kuwa yanapingana na yale ya Musa.Walimtambua mapema kuwa ni nabii wa uongo.Ndipo alipoona aanzishe ibada ya ijumaa isiyo na misingi yyte kwa MUNGU.Na wengine waliojiita wakrusto wanaabudu jumaapili kwa kumfuata mfalme Costantine wa rumi aliyebadili sabato toka jumaamosi kwenda jumaapili.Lkn hakuna andiko hata moja linaloonesha wakristo kuitunza jumaapili badala ya sabato ya biblia ya jumaamosi.Nimekueleza kirefu sana,kama hukutumwa na Ibilisi utakuwa umenielewa.Labda ulete aya inayoonesha
1-Wapi muhammad aliambiwa abadili qibra yake toka jumaamosi kwenda ijumaa
2-Wapi Mungu anatoa agizo lingine la kuitunza jumaapili kama sabato kwa wakristo badala ya sabato ta biblia ya jumaamosi.
 
Hayo ni maneno ya mtu aliyekosa hikma ya Mungu.Sasa nikwambie,ktk kuabudu sote tunatakiwa tumsikilize Mungu anatuambia nini,na si kujitungia.Mungu aliwaambia watu wote waitunze sabato awe myahudi,mkristo,muislam,budha,mpagani,n.k.Swali unalouliza ni wazi kuwa huna elimu.Sabato ilianza kabla ya wayahudi.Sherua ya Mungu ilifuatwa kuanzia adamu,Nuhu,Ibrahimu,Musa,n.k.Isipokuwa kipndi cha Ibrahimu haikuandikwa.Ila Mungu aliwafunulia na wao walikuwa wakifuata.Sabato si ya wayahudi,kwa taarifa yako hata Muhammadi pia alikuwa akiitunza sabato ya jumaamisi(qur 2:142) na ufafanuzi wake.
*Yesu ndiye aliyetoa sheria(amri kumi) na kumpa Musa akawape wanaadamu wote.Musa aliongozwa na Yesu kule jangwani(1wakorintho 10:1-4).Kila nabii anaongozwa na ushuhuda wa Yesu(ufunuo 19:10).Manabii wote ni lazima wawe na kauli moja,wasiwe kigeu geu yaani wasipingane.Kwa maana wametumwa na MUNGU mmoja tu asiyebadilika kimtazamo na mipango kama mwanaadamu(zaburi 89:34,qur Qr 17:77).Ndio maana Yesu akasema hakuja kubadili yaliyo kwenye torati wala vitabu vya manabii(math 5:17).Sasa kamq kuna mtu atakuja kuleta hoja ya kumpinga nabii Musa huyo ni nabii wa uongo.Mungu anasema roho za manabii huwatii manabii(1wakor 14:32).Jumaapili na ijumaa zimeletwa na wanaadamu.Wayahudi waliyakataa mafundisho ya Muhammad kwa kuwa yanapingana na yale ya Musa.Walimtambua mapema kuwa ni nabii wa uongo.Ndipo alipoona aanzishe ibada ya ijumaa isiyo na misingi yyte kwa MUNGU.Na wengine waliojiita wakrusto wanaabudu jumaapili kwa kumfuata mfalme Costantine wa rumi aliyebadili sabato toka jumaamosi kwenda jumaapili.Lkn hakuna andiko hata moja linaloonesha wakristo kuitunza jumaapili badala ya sabato ya biblia ya jumaamosi.Nimekueleza kirefu sana,kama hukutumwa na Ibilisi utakuwa umenielewa.Labda ulete aya inayoonesha
1-Wapi muhammad aliambiwa abadili qibra yake toka jumaamosi kwenda ijumaa
2-Wapi Mungu anatoa agizo lingine la kuitunza jumaapili kama sabato kwa wakristo badala ya sabato ta biblia ya jumaamosi.
Sasa Qur'an inaniambia watu wa jumamosi waligeuzwa manyani, na inaniambia nikaswali Ijumaa. Sasa habari ya sabato unamueleza nani.
Nimekuuliza Wayahudi wanasali lini ? na wakiristu wenzio mbona wanaenda jumapili na Yesu ni huyo huyoo ?!
Unaruka ruka tu.
 
Hayo ni maneno ya mtu aliyekosa hikma ya Mungu.Sasa nikwambie,ktk kuabudu sote tunatakiwa tumsikilize Mungu anatuambia nini,na si kujitungia.Mungu aliwaambia watu wote waitunze sabato awe myahudi,mkristo,muislam,budha,mpagani,n.k.Swali unalouliza ni wazi kuwa huna elimu.Sabato ilianza kabla ya wayahudi.Sherua ya Mungu ilifuatwa kuanzia adamu,Nuhu,Ibrahimu,Musa,n.k.Isipokuwa kipndi cha Ibrahimu haikuandikwa.Ila Mungu aliwafunulia na wao walikuwa wakifuata.Sabato si ya wayahudi,kwa taarifa yako hata Muhammadi pia alikuwa akiitunza sabato ya jumaamisi(qur 2:142) na ufafanuzi wake.
*Yesu ndiye aliyetoa sheria(amri kumi) na kumpa Musa akawape wanaadamu wote.Musa aliongozwa na Yesu kule jangwani(1wakorintho 10:1-4).Kila nabii anaongozwa na ushuhuda wa Yesu(ufunuo 19:10).Manabii wote ni lazima wawe na kauli moja,wasiwe kigeu geu yaani wasipingane.Kwa maana wametumwa na MUNGU mmoja tu asiyebadilika kimtazamo na mipango kama mwanaadamu(zaburi 89:34,qur Qr 17:77).Ndio maana Yesu akasema hakuja kubadili yaliyo kwenye torati wala vitabu vya manabii(math 5:17).Sasa kamq kuna mtu atakuja kuleta hoja ya kumpinga nabii Musa huyo ni nabii wa uongo.Mungu anasema roho za manabii huwatii manabii(1wakor 14:32).Jumaapili na ijumaa zimeletwa na wanaadamu.Wayahudi waliyakataa mafundisho ya Muhammad kwa kuwa yanapingana na yale ya Musa.Walimtambua mapema kuwa ni nabii wa uongo.Ndipo alipoona aanzishe ibada ya ijumaa isiyo na misingi yyte kwa MUNGU.Na wengine waliojiita wakrusto wanaabudu jumaapili kwa kumfuata mfalme Costantine wa rumi aliyebadili sabato toka jumaamosi kwenda jumaapili.Lkn hakuna andiko hata moja linaloonesha wakristo kuitunza jumaapili badala ya sabato ya biblia ya jumaamosi.Nimekueleza kirefu sana,kama hukutumwa na Ibilisi utakuwa umenielewa.Labda ulete aya inayoonesha
1-Wapi muhammad aliambiwa abadili qibra yake toka jumaamosi kwenda ijumaa
2-Wapi Mungu anatoa agizo lingine la kuitunza jumaapili kama sabato kwa wakristo badala ya sabato ta biblia ya jumaamosi.
Musa alikuwa anafanyaje ibada uake, na nyie mnafanyaje ?
Je, katika ibada yako unafanya vitendo vile vile alivyofanya Musa ?
Ni vitendo vipi hivyo ?
Wewe ni msabato au mkiristo, au mkiristo msabato ?
 
Sasa Qur'an inaniambia watu wa jumamosi waligeuzwa manyani, na inaniambia nikaswali Ijumaa. Sasa habari ya sabato unamueleza nani.
Nimekuuliza Wayahudi wanasali lini ? na wakiristu wenzio mbona wanaenda jumapili na Yesu ni huyo huyoo ?!
Unaruka ruka tu.
Hunielewi ww.Wakristo wenzangu wanasali jumaamosi.Wewe watafute hao wanaosali jumaapili uwaulize.Na watafute hao wayahudi uwaulize.Mimi mkristo na siku yangu ya kuabudu aliyeniagiza Mungu ni jumaamosi.
*Wewe huelewi kiswahili.Unashindwa kutafsiri quran,unawezaje kutafsiri biblia!.qr 2:65 inasema,"na kwa yakini mmekwisha kujua habari ya wale WALIOASI KTK AMRI YA KUIHISHIMU JUMAAMOSI.Basi tukawaambia:kuweni manyani wadhalilifu".Ww unashindwaje kuielewa hii?.Walilaaniwa kwa kukataa kuitunza sabato.Inamaana ukikataa kuitunza sabato unalaaniwa.Ndio maana mungu wenu anasema atawahukumu ninyi mnaoiasi sabato ya jumaamosi(qur 16:125).Mimi naitunza sabato ya jumaamosi,wewe unaivunja,nani mlaaniwa hapo kwa mujibu wa qurani?Yaani unapingana na mungu wako?Kumbe mungu wako ni wa kawaida sana kias ambacho hadi unafikia kumrekebisha!
*Ijumaa imetajwa mara moja tu kama siku ya kawaida ya biashara.Lkn jumaamos imetajwa zaidi ya mara tatu tena kwa utukufu wake.Hebu linganisha ijumaa na jumaamos jinsi zilivyotamkwa na mungu wako ktk quran(qr 4:154,2:65-66,16:124,62:9).
 
Hunielewi ww.Wakristo wenzangu wanasali jumaamosi.Wewe watafute hao wanaosali jumaapili uwaulize.Na watafute hao wayahudi uwaulize.Mimi mkristo na siku yangu ya kuabudu aliyeniagiza Mungu ni jumaamosi.
*Wewe huelewi kiswahili.Unashindwa kutafsiri quran,unawezaje kutafsiri biblia!.qr 2:65 inasema,"na kwa yakini mmekwisha kujua habari ya wale WALIOASI KTK AMRI YA KUIHISHIMU JUMAAMOSI.Basi tukawaambia:kuweni manyani wadhalilifu".Ww unashindwaje kuielewa hii?.Walilaaniwa kwa kukataa kuitunza sabato.Inamaana ukikataa kuitunza sabato unalaaniwa.Ndio maana mungu wenu anasema atawahukumu ninyi mnaoiasi sabato ya jumaamosi(qur 16:125).Mimi naitunza sabato ya jumaamosi,wewe unaivunja,nani mlaaniwa hapo kwa mujibu wa qurani?Yaani unapingana na mungu wako?Kumbe mungu wako ni wa kawaida sana kias ambacho hadi unafikia kumrekebisha!
*Ijumaa imetajwa mara moja tu kama siku ya kawaida ya biashara.Lkn jumaamos imetajwa zaidi ya mara tatu tena kwa utukufu wake.Hebu linganisha ijumaa na jumaamos jinsi zilivyotamkwa na mungu wako ktk quran(qr 4:154,2:65-66,16:124,62:9).
Subiri ukaungane na manyani wenzio !
Wayahudi wanao tumia Tourat ya Musa wao wameamua kuabudu Jumanne na si jumamosi !
 
Subiri ukaungane na manyani wenzio !
Wayahudi wanao tumia Tourat ya Musa wao wameamua kuabudu Jumanne na si jumamosi !
Sasa myahudi ni nani?Sasa myahudi akiabudu jumaanne mi nifanye nini?Wewe,wanaoabudu jumaapili,jumaanne,jumaatano,jumaatatu,wote mnavunja sabato, ni manyani wadhalilifu kwa mujibu wa quraani.Sasa leo ww unairekebisha quraani.Na quraani haijakosea,wewe ndo unajilaanisha.Quraani inatuita wanavyuoni na tunamcha MWENYEZI MUNGU(QR 5:82).Sasa mcha Mungu amelaaniwa?Au mungu wako hajielewi?Mbona unamdharau mungu wako ww?
 
Sasa myahudi ni nani?Sasa myahudi akiabudu jumaanne mi nifanye nini?Wewe,wanaoabudu jumaapili,jumaanne,jumaatano,jumaatatu,wote mnavunja sabato, ni manyani wadhalilifu kwa mujibu wa quraani.Sasa leo ww unairekebisha quraani.Na quraani haijakosea,wewe ndo unajilaanisha.Quraani inatuita wanavyuoni na tunamcha MWENYEZI MUNGU(QR 5:82).Sasa mcha Mungu amelaaniwa?Au mungu wako hajielewi?Mbona unamdharau mungu wako ww?
Hujui kuwa wayahudi wanafuata Torah !?
Jitahidi ukutane na manyani wenzio siku ya hukumu, na dini yako ya jumamosi !
Ati dini inaitwa jumamosi !
Wale sabato masalia waliishia wapi ?
 
Hujui kuwa wayahudi wanafuata Torah !?
Jitahidi ukutane na manyani wenzio siku ya hukumu, na dini yako ya jumamosi !
Ati dini inaitwa jumamosi !
Ikiwa unamdharau mungu wako itakuwaje kwangu?Kama unajua wayahudi wanafuata torah imekuwaje useme wanaabudu jumaanne!Torah ndo imesema waabudu jumaanne!Itakuwa quran hyo,sio Torah ya Musa.Ukiiasi sabato wewe ni nyani(qr 2:65-66).Hakuna janja janja hapo.Na utaadhibiwa tu kwa kuivunja sabato(quran 16:124)
 
Ikiwa unamdharau mungu wako itakuwaje kwangu?Kama unajua wayahudi wanafuata torah imekuwaje useme wanaabudu jumaanne!Torah ndo imesema waabudu jumaanne!Itakuwa quran hyo,sio Torah ya Musa.Ukiiasi sabato wewe ni nyani(qr 2:65-66).Hakuna janja janja hapo.Na utaadhibiwa tu kwa kuivunja sabato(quran 16:124)
Huna kitu wewe , hangaika na hiho jumamosi yako. Hataserikali za dunia hawaitambui. Hiyo dini ya jumamosi nawaonaga wapare tu wanahangaika nayo !
Sabato Masalia waliishia wapi !?
 
Huna kitu wewe , hangaika na hiho jumamosi yako. Hataserikali za dunia hawaitambui. Hiyo dini ya jumamosi nawaonaga wapare tu wanahangaika nayo !
Serikali ya dunia ni nani katika dini?Siku sita fanya kazi,utende mambo yako yote,siku ya saba ni sabato ya BWANA MUNGU wako....(kutoka 20:8-11,qur 4:154)
*Jumaamosi siyo yangu,ni ya MUNGU.Tena ameiita siku yake ya furaha(Isaya 58:13-14).
 
Huna kitu wewe , hangaika na hiho jumamosi yako. Hataserikali za dunia hawaitambui. Hiyo dini ya jumamosi nawaonaga wapare tu wanahangaika nayo !
Sabato Masalia waliishia wapi !?
Mungu mwenyewe ni msabato.Soma mwanzo 2:1-3
 
....kaa na ukafiri wako banaa !
Kafiri linatokana na neno la kiarabu "kafirun".Mpinga kauli tangulizi za MWENYEZI MUNGU.Musa alipewa torah kabla ya Muhammad.Kauli tangulizi ya MUNGU ni sheria yake kwa mkono wa Musa ikiwemo na amri ya jumaamosi.Mungu wenu kaja kupinga.Sasa nani kafiri wa kwanza!
 
Kafiri linatokana na neno la kiarabu "kafirun".Mpinga kauli tangulizi za MWENYEZI MUNGU.Musa alipewa torah kabla ya Muhammad.Kauli tangulizi ya MUNGU ni sheria yake kwa mkono wa Musa ikiwemo na amri ya jumaamosi.Mungu wenu kaja kupinga.Sasa nani kafiri wa kwanza!
Dini ya jumamosi !
 
Of cause dini ya manyani !
Unampinga mungu wako.Ukiongea mbele ya waislam wenzio watakuchinja.Mungu wako anasema wakristo ni wacha Mungu(qr 5:82),wewe unasema dini yao ni ya manyani!Kwa hiyo unampinga mungu wako?Ndio maana tunasema Allah sio mungu,maana ikiwa ninyi wenyewe mnampinga,tunawezaje kumkubali sisi!
 
Unampinga mungu wako.Ukiongea mbele ya waislam wenzio watakuchinja.Mungu wako anasema wakristo ni wacha Mungu(qr 5:82),wewe unasema dini yao ni ya manyani!Kwa hiyo unampinga mungu wako?Ndio maana tunasema Allah sio mungu,maana ikiwa ninyi wenyewe mnampinga,tunawezaje kumkubali sisi!
We ni kasoro mkia tu !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom