Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,553
Ww tatizo umekalili tu ila hufanyi uchunguzi uislam umeeanzishwa na Muhammad ila kwa kua we ni mfia din siwezi bishana na ww .Na km unaona waarabu ni bora kuliko sisi hujachelewa kaolewa huko na utumwa wako wa kukalilishwa upuuzi
Wakati wa Nabii Ibrahim Uislaam upo, na jufikiria Uislaam ni uarabu ni kwa mtu mpumbavu tu kama wewe ! Indonesia ina watu mil ±250 na wate ni waislaam na hamna mwarabu.