hahahahahaha! Kila shetani na mbuyu wake.
Hivi labda niulize, unapompa hela mpenzi wako umemuhonga au umemsaidia?
Kutegemea na mazingira
kuna sehemu nahonga kuna sehem nasaidia
ila ni mazingira tuu
hahahahahaha! Kila shetani na mbuyu wake.
Hivi labda niulize, unapompa hela mpenzi wako umemuhonga au umemsaidia?
Kuna watu muanaalikwa kwenye semina Elekezi kwa
hiyo hamuwezi kuona tatizo hapo!
Halafu wewe lol!!!!
Unanikumbusha X BF wangu, nilikuwa nabeep ye anapiga tu hatumi vocha kama nataka kuongeaImekuwa ni kawaida kwa wanawake wengi kuomba salio
kwa wapenzi wao, ajabu ni kwamba huwa hampigi simu
bali mmezoea kubeep, tena hata ukitumiwa salio bado utabeep
Asubuhi tu umetuma 5,000 Jioni anakubeep, bado sijaelewa hapa!
Hivi ninyi ni nani hasa huwa mnapenda kumpigia?
Unanikumbusha X BF wangu, nilikuwa nabeep ye anapiga tu hatumi vocha kama nataka kuongea
na mtu na vocha sina alikuwa ananiunganisha kupitia simu yake kwa hiyo yeyote nitakayeongea
naye yeye alikuwa anasikia ingawa alikuwa hachangii kitu. Tumeachana lakini tatizo ni jingine na sio hilo
la simu. Vipi unapenda hiyo staili?
Kutegemea na mazingira
kuna sehemu nahonga kuna sehem nasaidia
ila ni mazingira tuu
Ha ha haaa angalau wewe umejibu kidogo kama inakuja kuja vile,
Wenzio wameshutumu tu hapa mpaka nakumbuka kisa cha mtoto
aliyeiba sukari anaulizwa kaka yuko wapi anasema sikulamba sukari!
natamani kujua ni mazingira yapi unahonga.
Halafu na wewe uache kulalamika, yani buku 2000 ndo unalialia hivyo. Wenzako tunasemaga hivi, nina shida ya laki mbili mpenzi, naweza kupata leo jioni? Hapo ni saa nane mchana.........ha ha ha unauilizwa za nini nataka nijze gri mafuta kabisa manake.....................................hapo humalizii hiyo manake wala nini..............
Ulikuwa unahitaji jioni ya saa ngapi sasa, kama saa 11 hivi.....ha ha ha, halafu n ile nguo yangu kwa fundi aliniambia nipitie leo, ilibaki elfu hamsini. Yani hapa nilipo hata senti tano sina ungeniongezea na elfu hamsini ingenifikisha Ijumaa..................hapo ni jumatano hiyooooooooo
Saa kumi na moja mzee unakiona kibaba kinatokea, kinafungua wallet kinakukabidhi laki 2, hapo hakuna kuulizwa yani mafuta ya laki? Noo Hakuna maswali.......ACHA KULIA
Duh natamani kusema nimeipenda hiyo staili lakiniUnanikumbusha X BF wangu, nilikuwa nabeep ye anapiga tu hatumi vocha kama nataka kuongea
na mtu na vocha sina alikuwa ananiunganisha kupitia simu yake kwa hiyo yeyote nitakayeongea
naye yeye alikuwa anasikia ingawa alikuwa hachangii kitu. Tumeachana lakini tatizo ni jingine na sio hilo
la simu. Vipi unapenda hiyo staili?
Duh natamani kusema nimeipenda hiyo staili lakini
nawaogopa wakuu hapa kama wamenisifia ubahili
sasa watanisifia wivu tena hawatasema wivu tu watasema
wivu wa kijinga wivu wa kipumbavu!
Hili halishangazi sana si uko na yule jamaa wa MAJENGO PACHA, AuHalafu na wewe uache kulalamika, yani buku 2000 ndo unalialia hivyo. Wenzako tunasemaga hivi, nina shida ya laki mbili mpenzi, naweza kupata leo jioni? Hapo ni saa nane mchana.........ha ha ha unauilizwa za nini nataka nijze gri mafuta kabisa manake.....................................hapo humalizii hiyo manake wala nini..............
Ulikuwa unahitaji jioni ya saa ngapi sasa, kama saa 11 hivi.....ha ha ha, halafu n ile nguo yangu kwa fundi aliniambia nipitie leo, ilibaki elfu hamsini. Yani hapa nilipo hata senti tano sina ungeniongezea na elfu hamsini ingenifikisha Ijumaa..................hapo ni jumatano hiyooooooooo
Saa kumi na moja mzee unakiona kibaba kinatokea, kinafungua wallet kinakukabidhi laki 2, hapo hakuna kuulizwa yani mafuta ya laki? Noo Hakuna maswali.......ACHA KULIA
Hili halishangazi sana si uko na yule jamaa wa MAJENGO PACHA, Au
Yule wa Nishati na madini...... au yule wa...... Lazima nilalamike bana
iwapo nimeuza shahada yangu ya kura kwa 10,000 nitashindwa vipi
kulalamika?
mdogo wake Lyumba !Wanaume "mkono wa birika" utawajua tu! Sisi wengine tunatuma 100,000/= kila mwanamke anapoku-beep
Tatizo inapokuwa kila siku ndo inauzi tena hata akikubeepKakak muulize vizuri huyo unayemwekea mana me na mume wangu tushazoea kuwekeana na hatuchunguzi umetumiaje.
me naona kama umeamua kumpa mpe ila sio vvizuri unampa halafu unamsimanga humu kwenye JF
Ha ha haa haaa Tofautisha ubahili na uwezo.
Hapa kidogo nimeridhika lakini tatizo hata umpe ngapi ye nikubeep tu,Mkuu unafight kwa ajili ya yule umpendae na aridhike na awe na uhakika kuwa nina mtu anayenipenda
Ananijali na kuniona na mimi ni mtu katika watu
Sidhani kama ungependa mpenzio au mchumbako awe kila siku yeye ni wa kubeep simu za wenzake
Maana watasema mchumba wa Gazeti mbahili yeye hawezi kupiga simu hata siku moja kila siku anabeep tuu